Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wastara: Siwahi Kuona Kiongozi Kama Steve Nyerere

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amempongeza na kumsifu aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movies Unity, Steven Mengere 'Stive Nyerere' kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi anayeweka wajali  na kuwafikiria anaowaongoza.

Wastara alieleza hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Steve Nyerere akiwa kwenye kaburi la marehemu Adam Kumbiana.

“Hongera kaka kwa kikubwa ulichokifanya maneno yasikuludishe nyuma ukiona unasemwa sana ujue umewashika sijawahi kuona kiongizi wa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE, WASTARA JUMA ‘DAMDAM’

Komediani maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Gabriel Ng’osha
Kivipi? Taarifa ikufikie kuwa komediani maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa yeye na staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma ni damdam. Steve alisema hayo wikiendi iliyopita wakati akichukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kinondoni, Dar kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE, SANDRA WAGANDANA KAMA RUBA

Stori: Richard Bukos
MAHABA? Prezidaa wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na mwigizaji mwenzake, Salama Salmin ‘Sandra’ wamezua minong’ono kufuatia kitendo chao cha kugandana kama ruba ukumbini. Tukio hilo lilichukua nafasi kwenye uzinduzi wa filamu tatu za Kiswahili ‘Swahiliwood’ kwenye Ukumbi wa Century Cinemax, Oysterbay jijini Dar wikiendi iliyopita. Katika tukio...

 

11 years ago

GPL

KAMA NINGEKUWA STEVE NYERERE NINGE…

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’. KWAKO,
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’. Bila shaka mambo yako yapo safi kabisa. Kuna mambo nataka kukushauri lakini nimeona njia hii ya barua ni nzuri zaidi, maana hutaisoma peke yako. Aisee naitamani sana nafasi yako, maana  ningefanya mengi sana, lakini kwa kuanzia ningeanza na haya yafuatayo ambayo naamini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Steve Nyerere: Wamenikomoa

MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...

 

9 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere Alishwa Sumu

STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani  linakupa ripoti kamili.

Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.

“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AFUTWA UANACHAMA

Stori:  Deogratius Mongela
Mshtuko! Siku chache baada ya kujiengua kwenye nafasi ya uenyekiti katika Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ anadaiwa kufutwa uanachama wa klabu hiyo. Aliyekuwa mwenyekiti katika Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Chanzo cha ndani ya klabu hiyo kimepenyeza madai kuwa, wameamua kumvua uanachama Steve kwani wanaona ni...

 

9 years ago

GPL

STEVE NYERERE AWAUMBUA MASTAA

Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewachana wasanii kwa kuwaita wanafiki kutokana na kuukacha uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Uwanja wa Jangwani wiki iliyopita. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Steve alisema ameshangazwa kuona baadhi ya wasanii kuikacha CCM na kuupigia debe Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AKOMBWA IPAD

Na Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Steve Mangere ‘Steve Nyerere’ amejikuta akimwaga machozi baada ya kuibiwa Ipad yenye thamani ya Sh. Mil 1. Steve Mangere ‘Steve Nyerere’. Tukio hilo lilitokea juzikati katika Ukumbi wa jengo la Akemi, Golden Jubilee, Posta jijini Dar ambapo Steve alikwenda kuhudhuria uzinduzi wa sinema ya mwigizaji, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Steve Nyerere: Mimi si shoga

MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amekerwa na alichosema uzushi dhidi yake kwamba ni shoga. Kupitia ukurasa wake wa facebook, msanii huyo alisema anachukizwa na kasumba ya baadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani