Hajatokea kama Mwalimu Nyerere
Nilikutana na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa mara ya kwanza mwaka 1978. Mimi nilikuwa Seminari ya Likonde wilayani Mbinga. Mwalimu alikuja kutembelea Kijiji cha Amani Makoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GrumRRxu4WA/default.jpg)
9 years ago
GPL14 Oct
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere
LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mwalimu Nyerere hatotoweka
KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...
10 years ago
The Southern Times20 Oct
Time to reflect on Mwalimu Nyerere
The Southern Times
The Southern Times
The period of October 14-24 marks the final journey of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere and is a very special week for southern Africans to reflect and rededicate to Africa's future.Mwalimu Nyerere passed away on 14 October 1999 at the age of 77.
Mwalimu advocated two-tier Union, says CCMDaily News
Julius Nyerere to land posthumous Catholic sainthood?NewsDay
all 7
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Zitto amtumia Mwalimu Nyerere
Na Bakari Kimwanga, Morogoro
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliugeuza Mkoa wa Morogoro kuwa wa viwanda lakini kushindwa kusimamiwa kwa sera zake na viongozi wa Serikali iliyoko madarakani kumesababisha wananchi wake kubaki maskini.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Ndege mjini hapa.
Alisema ndiyo maana ACT- Wazalendo inaamini katika misingi ya Nyerere inayoleta usawa wa...
10 years ago
Michuzi16 Mar
11 years ago
Habarileo17 May
Waliomtusi Mwalimu Nyerere watubu
WABUNGE wanaodaiwa kumkashifu Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Bunge Maalumu la Katiba, wamempigia simu Mama Maria Nyerere kumuomba msamaha, kutokana na maneno ya kashfa ndani ya bunge hilo.