Waliomtusi Mwalimu Nyerere watubu
WABUNGE wanaodaiwa kumkashifu Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Bunge Maalumu la Katiba, wamempigia simu Mama Maria Nyerere kumuomba msamaha, kutokana na maneno ya kashfa ndani ya bunge hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL14 Oct
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GrumRRxu4WA/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere
LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mwalimu Nyerere hatotoweka
KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U0TeGlrt9cQ/VDgOtSvnGdI/AAAAAAAGpA4/GlyehWsADGM/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA kumuenzi Mwalimu Nyerere
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0TeGlrt9cQ/VDgOtSvnGdI/AAAAAAAGpA4/GlyehWsADGM/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa upande wa Waislam na Padri John Solomon kwa upande wa Wakristo.
Taalib alisema katika ibada hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Silla na...
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Zitto amtumia Mwalimu Nyerere
Na Bakari Kimwanga, Morogoro
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliugeuza Mkoa wa Morogoro kuwa wa viwanda lakini kushindwa kusimamiwa kwa sera zake na viongozi wa Serikali iliyoko madarakani kumesababisha wananchi wake kubaki maskini.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Ndege mjini hapa.
Alisema ndiyo maana ACT- Wazalendo inaamini katika misingi ya Nyerere inayoleta usawa wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere ni leo