Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKITOKA UGOMVINI, KUWA MWANGALIFU KUSAMEHE

KUNA mambo mengi yanatokea katika hii dunia, ambayo wakati mwingine yanatulazimisha kuzungumza na watu wetu ili kuwapa kile kidogo tunachokijua, tukiamini mchango wa mawazo yetu unaweza angalau kuongeza wigo wa ufahamu juu ya kitu kinachosababishwa na mapenzi. Kupitia vyombo vya habari, yakiwemo magazeti redio na televisheni, tutakuwa tunaona na kusikia kuhusu wapendwa wetu wanavyopoteza maisha kutokana na mapenzi. Juzi, nilikuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

JK: Sijawahi kusamehe kodi makontena

RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amesema katika uongozi wake wa miaka 10, hakuwahi kuagiza mtu asamehewe kontena lake lisilipe kodi na angefanya hivyo, mapato ya Serikali yasingeongezeka kutoka Sh bilioni 177 kwa mwezi mpaka Sh bilioni 900.

 

11 years ago

GPL

JIFUNZE KUSAMEHE YEYE SIYO MALAIKA

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa kabisa, ni siku nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja huu kujuzana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi, hususan wachumba au wanandoa. Kabla sijaanza kuijadili mada yetu ya hapo juu kama inavyojieleza, ningependa nikupe mfano mdogo kuhusu watoto mapacha. Sote tunawajua watoto mapacha. Hawa huanza kuwa pamoja kuanzia wakiwa kwenye tumbo la mama yao. Huzaliwa siku...

 

11 years ago

Mwananchi

Nilitamani kusamehe kama Madiba-Nyerere

Mwigizaji Steve Nyerere, ameonyesha masikitiko yake kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela (Madiba), akieleza kuwa bado alikuwa akihitaji kujifunza kutoka kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe

SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa wadhifa wake kwa tuhuma za kushindwa kusimamia wizara yake, kiongozi huyo ametaka apewe moyo wa upendo...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam

……………………………………………………………………

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI DK.MPANGO ASEMA SERIKALI INAPENDEKEZA KUSAMEHE KODI YA ONGEZEKO LA THAMAN I(VAT) KATIKA BIMA YA KILIMO CHA MAZAO


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema kuwa Katika Bajeti ya Fedha ya mwaka 2020/2021,Serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye bima ya kilimo cha mazao. 
Dk.Mpango amesema hayo leo Bungeni Mjini Dodoma wakati anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali yenye jumla ya Sh.Trilioni 34.88 ambapo katika eneo hilo la kusamehe kodi amefafanua lengo ni kupunguza gharama na kutoa unafuu katika bima za kilimo kwa ajili ya kuwawezesha...

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA

Wakuu wa nchi 20 zenye nguvu kiuchumi na zinazoinukia kiuchumi duniani, G20 wamekubaliana kusamehe kwa muda madeni ya nchi masikini duniani. 
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa. 
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video. 
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa. 
Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani