ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’, KWANI YEYE NI ‘OKSIJENI’?
![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfA8WkPZCi6P8Gy8W5yMPdOPlAv3wyr3RHGIiN8BjfGSEAm9sIbHwV81GITVms-BC6n4MHSlkF3CmjI7Yo3ReLEy/Loves..jpg)
Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Nov
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
![](http://api.ning.com/files/DmFIhqID0Fr7QwxJYVDTSE6eDxAATZjPwRH63Qx3N8St4aUmv2QOswC4GpCPpxWZbpcbs9Ogt-8blGVXnPjS-mfTAtb1IIJ-/couples.jpg?width=650)
Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FpZPAQ2WI85-YmvgneV*XnYrO39FEqY1X*pB7-HjEEiGlVU6p3hFgWBx-RxvnEufXIlhanwgJCPi6nQ3hxMUtxJ/Love.jpg?width=650)
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3ViobPWSnBXZnameGtbUihGCnf3ROAVjRPaIxpv51EOcqYYFqQvl0JwtwpYUc-EeiMvAcyt3xtwPjHkI1c*r49lO/4.jpg?width=650)
SAJENT; ETI SASA VIMINI PEMBENI, SWALA NA YEYE!
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?
UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa wanafanana.
“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”
Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s72-c/Job-Ndugai.jpg)
Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s1600/Job-Ndugai.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmESX546Gfc*6j9wKoIYaV68sCM5r8-cSbEFXRrzk-CZQFfgE3835oYVMnfgAausQpgxFYHCJjv1HjxeeVVRe0Z/mahaba.jpg)
JIFUNZE KUSAMEHE YEYE SIYO MALAIKA
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli asema yeye ndiye mshindi
NA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.
Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...
9 years ago
Bongo524 Oct
Diego Costa asema yeye si malaika
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Namshukuru Mungu sauti yangu inamtumikia YeYE