Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIDA NIGOMBEE BWANA, KWANI WANAUME WAMEISHA?

Stori:mayasa mariwata
MTANGAZAJI  wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ‘date’ na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu kugombea bwana ila atanawa mikono. Mtangazaji wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ akipozi. Akibonga na paparazi wetu hivi karibuni Dida alisema, hakuna kitu ambacho kwake anaona ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nafuatwa nigombee urais, asema Dk Mahiga

Iringa. Balozi wa zamani wa Tanzania kwenye ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN), Dk Augustine Mahiga amesema anafuatwa na makundi ya watu wanaomshawishi achukue fomu kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CCM, lakini hajatoa jibu.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

9 years ago

GPL

WAMEISHA MPAKA UMPENDE MPENZI WA RAFIKI YAKO?

Niwiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba Mungu amekujaalia afya njema na uko tayari kukisoma kile ambacho nimekuandalia kwa wiki hii. Leo nataka kuzungumzia ile hali ya mtu kutokea kumpenda mtu ambaye tayari yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi. Hilo limekuwa likitokea sana huko mtaani, unakuta kijana anampenda sana mke wa mtu kiasi cha kutamani aachike amuoe yeye. Si hivyo tu, unakuta mwanamke anatokea...

 

9 years ago

Vijimambo

WAMEISHA MPAKA UMPENDE MPENZI WA RAFIKI YAKO?

Niwiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba Mungu amekujaalia afya njema na uko tayari kukisoma kile ambacho nimekuandalia kwa wiki hii.

Leo nataka kuzungumzia ile hali ya mtu kutokea kumpenda mtu ambaye tayari yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi. Hilo limekuwa likitokea sana huko mtaani, unakuta kijana anampenda sana mke wa mtu kiasi cha kutamani aachike amuoe yeye.

Si hivyo tu, unakuta mwanamke anatokea kumzimikia mume wa mtu na kuhisi yeye ndiye alistahili kuolewa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

10 years ago

Bongo Movies

MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?

UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu  hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa  wanafanana.

“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”

Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...

 

10 years ago

GPL

TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?

INAUMA kidogo kuandika kuhusu mtu ambaye umefanya naye kazi kwa karibu kwa kipindi kirefu, anapoendelea kuripotiwa kufanya matukio yanayotofautiana na nafasi yake katika jamii. Na inauma zaidi, vitendo hivyo vinavyoripotiwa kufanywa naye, mwisho wa siku vinaweza kumfanya akajikuta yupo chini ya vyombo vya sheria. Hapa ninamzungumzia Khalid Mohamed, yule kijana wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam anayefahamika zaidi kwa jina la...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kinana, kwa nini? Kwani kunani?

NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapindu

Ahmed Rajab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani