Nafuatwa nigombee urais, asema Dk Mahiga
Iringa. Balozi wa zamani wa Tanzania kwenye ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN), Dk Augustine Mahiga amesema anafuatwa na makundi ya watu wanaomshawishi achukue fomu kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CCM, lakini hajatoa jibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM
>Mwanadiplomasia mkongwe nchini, Dk Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais na kuahidi kuimarisha misingi ya Taifa na kutengeneza mwelekeo imara wa nchi kuelekea uchumi wa kipato cha kati.
10 years ago
Habarileo10 Jun
Balozi Mahiga rasmi urais CCM
MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.
10 years ago
MichuziBALOZI MAHIGA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa,Dk. Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Dar es salaam leo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mahiga amesema maadili yamemomonyoka na kufanya kuwepo kwa rushwa na ufisadi.
Mahiga amesema ubadhirifu na ufisadi katika taifa kunahitajika kuwepo kwa mwelekeo katika kuweza kupambana na vitu hivyo ili...
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa,Dk. Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Dar es salaam leo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mahiga amesema maadili yamemomonyoka na kufanya kuwepo kwa rushwa na ufisadi.
Mahiga amesema ubadhirifu na ufisadi katika taifa kunahitajika kuwepo kwa mwelekeo katika kuweza kupambana na vitu hivyo ili...
10 years ago
GPLBALOZI MAHIGA AJITOSA MBIO KUWANIA URAIS WA TANZANIA
Balozi Dr. Augustine Mahiga (kushoto) akiwa na mkewe, Elizabeth Mahiga (katikati) na kada wa CCM Eng. Lucas B.Chogo. Wanahabari wakifuatilia tukio hilo. ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa, Dr. Augustine  Mahiga,   amesema anazo sifa zote za kumfanya kuwa rais bora wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliyasema hayo hapo jana katika Idara ya Habari (Maelezo) alipokuwa...
10 years ago
Vijimambo.jpg)
BALOZI MAHIGA KISHATANGZA NIA YA URAIS CCM LEO HII
.jpg)
10 years ago
Michuzi
BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.

Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada maarufu wa chama hicho walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia watanzania na kuwa watazunguka kote ila...
10 years ago
GPL
DIDA NIGOMBEE BWANA, KWANI WANAUME WAMEISHA?
Stori:mayasa mariwata
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ‘date’ na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu kugombea bwana ila atanawa mikono. Mtangazaji wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ akipozi. Akibonga na paparazi wetu hivi karibuni Dida alisema, hakuna kitu ambacho kwake anaona ni...
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Museveni asema ana imani atashinda urais
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo ambayo mtu yeyote anaweza kujaribu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania