Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwani dhambi 2015 tukijitoe michezo yote?

Leo ni siku ya 349 kwa mwaka huu kabla ya kuhitimisha siku 365 na robo.  

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI

Askofu Eusebius Nzigirwa. WIKI iliyopita  niliandika mada juu ya viongozi wa dini kushindwa kunilisha neno juu ya sakata la Escrow. Nilikosoa mahubiri yao ya Sikukuu ya Krismasi yaliyoishutumu zaidi serikali katika ufisadi huku wakiacha kuwazungumzia viongozi wenzao wa dini ambao wanatajwa kujipatia mgao wa fedha zenye utata. Niliwaambia viongozi wa dini nchini kuwa, siyo sawa kujihusisha na utoaji wa kibanzi kwenye jicho la...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes

Forbes wametoa orodha mpya ya timu zenye thamani zaidi duniani. Orodha hiyo inaonesha kwa upande wa soka ni Real Madrid ndio imekamata nafasi ya juu ikifuatiwa na Manchester United. Hii ndio orodha kamili 1. New York Yankees – $661m (£430m) 2. Los Angeles Lakers – $521m (£339m) 3. Dallas Cowboys – $497m (£323m) 4. New […]

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015

December 19 2015 kwenye game ya ligi kuu Tanzania bara Yanga vs Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ambapo hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point 30 na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi, tazama hii video hapa chini ujionee magoli yote… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015 appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote..

Kuna takwimu za ishu kama magonjwa, rushwa, ajali huwa zinapewa kipaumbele sana kwenye vichwa vya habari kila kona, lakini takwimu nyingine hata kama zipo ni adimu kukutana nazo… Leo ni December 18 2015, tunahesabu wiki mbili tu kuimaliza 2015, takwimu za wajane zimenifikia na naanza kukuchambulia sasahivi. Ripoti ya Loomba Foundation World Widows inaonesha mpaka sasa […]

The post Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote.. appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuendeleze mazuri katika michezo 2015

Usiku wa keshokutwa watu sehemu mbalimbali duniani watakuwa wakifurahia kuingia mwaka mpya wa 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya michezo vilivyojipanga 2015

Leo ni siku ya 12 tangu kuanza kwa mwaka mpya wa 2015 ambao wanamichezo wengi wanatarajia utakuwa mwaka wa mabadiliko katika usimamiaji wa michezo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KIONGOZI KUFUNGUA MICHEZO YA SHIMIWI 2015

Na Mwandishi wetu-MAELEZO-Dar es salaam
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(Pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michezo ya Wizara, Idara zinazojitegemea ,Wakala wa Serikali  na Ofisi za wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) itakayoanza Jumamosi ijayo(15.8.2015) mjini Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Katibu Mkuu SHIMIWI Moshi Makuka, mashindano ya mwaka huu yatafanyika kwa wiki mbili.
Amesema kuwa siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani