Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI

Askofu Eusebius Nzigirwa. WIKI iliyopita  niliandika mada juu ya viongozi wa dini kushindwa kunilisha neno juu ya sakata la Escrow. Nilikosoa mahubiri yao ya Sikukuu ya Krismasi yaliyoishutumu zaidi serikali katika ufisadi huku wakiacha kuwazungumzia viongozi wenzao wa dini ambao wanatajwa kujipatia mgao wa fedha zenye utata. Niliwaambia viongozi wa dini nchini kuwa, siyo sawa kujihusisha na utoaji wa kibanzi kwenye jicho la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DHAMBI YA PASAKA!

Issa Mnally na Richard BukosAMA KWELI duniani kuna mambo! Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mtu yeye alijikuta akiiserebukia kwa fumanizi gesti, tena akiwa na mume wa mtu! Tukio hilo lilijiri Alhamisi Kuu maeneo Buza jijini Dar, mishale ya saa 7:00 usiku huku jamii ikiwa katika harakati za kununua hiki na kile kwa ajili ya Sikukuu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mshahara wa dhambi ni mauti!

RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini kujizulu kuwe dhambi?

TAIFA hivi sasa lipo katika homa ya uteuzi na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, vyote hivyo vinatarajiwa kufanyika wakati wowote kuanzia sasa baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dhambi ya ubaguzi inaiua CHADEMA


CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema dhambi ya ubaguzi ndani ya CHADEMA inaiua na sio kwamba kuna mkono wa CCM.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa Mto wa Mbu.
Nape alisema CHADEMA inaelekea kufa kutokana na kukumbatia dhambi ya ubaguzi na umwagaji wa damu za wananchi wasio na hatia.
ìTulijua watasema kuwa sisi CCM tumeingiza mkono wetu ndani ya chama chao, hiyo si kweli....

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Kilaini, Nzigirwa wazungumzia tuhuma

Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamii.

 

11 years ago

Habarileo

Wassira- Si dhambi kutamani kuwa Rais

KAMATI ndogo ya maadili ya CCM jana iliendelea kuhoji wanachama wake ambao wanatajwa kuanza harakati za urais kinyume na utaratibu wa chama. Jana ilikuwa zamu ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Steven Wassira.

 

10 years ago

Mwananchi

Si dhambi kumjadili Mwalimu tunapotaka mabadiliko

Hakuna ubishi kwamba Mwalimu Julius Nyerere, ni kati ya wanasiasa na wanazuoni walioyatamani mabadiliko na kufanya kazi kubwa ili kuyaleta.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Spika, hutakwepa dhambi ya kulibomoa taifa

MARA mbili katika kipindi cha chini ya miaka miwili, Bunge la Tanzania limeonyesha vioja kwa kugeuka jukwaa la kutetea maslahi ya wenye nguvu – wanasiasa, wafanyabiashara wakubwa, mafisadi na wawekezaji matapeli.

Mara ya kwanza ni mwaka jana (2014), pale Bunge Maalumu la Katiba lilipoichana chana Rasimu ya Mapendekezo ya Katiba ya Tume ya Jaji Joseph Sinde Warioba, yaliyotokana na wananchi na badala yake likapandikiza chini ya usimamizi wa Spika, kwa sehemu kubwa, ibara zenye kutetea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kujadili Muungano isiwe dhambi, usaliti

KWA muda mrefu Watanzania walikuwa wameaminishwa kuwa kuhoji, kukosoa au kujadili masuala yanayohusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliofanyika Aprili 26, mwaka 1964 ni dhambi au usaliti. Dhana hiyo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani