Kwanini kujizulu kuwe dhambi?
TAIFA hivi sasa lipo katika homa ya uteuzi na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, vyote hivyo vinatarajiwa kufanyika wakati wowote kuanzia sasa baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/Nzigilwa-bishop.png?width=650)
ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Lazima kuwe na fedha za kuwezesha wanawake: Halima Mdee
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/W6tv6TIvtxhxxUUIMDMSQChAg0OAQsfzKowAuo2tVlepUMF4iZ9EDzmE-17zC-lUIJHwL6CzVFGPbTgZqGsfgrmy__l8hh1TzSSAcly_VO6U6WXDTzsY0D0vQh9-cXFAL0p6C18=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/03/mdee.jpg)
Uwekezaji kifedha, uwajibikaji mujarabu wa wanawake ni moja ya mambo ambayo yakitekelezwa kikamilifu wanawake na wasichana wanaweza kupiga hatua katika nyanja mbalimbali.
Katika mahojiano maalum na Joseph Msami mjini New York, mwakilishi wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Halima Mdee katika mkutano wa 59 wa Kamisheni ya hali ya wanawake anasema uwezeshaji kwa wanawake unawezekana ikiwa kutakuwa na utashi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dhexU0o7-pI/U4yBU3yhPyI/AAAAAAAFnQY/qv3hCDbOo-k/s72-c/New+Picture+(1).png)
KUWE NA MGAWANYO SAWA KWENYE MIRADI YA MAJI - TUNDU LISSU
Akichangia wakati wa bajeti ya Wizara ya Maji, mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu alisema imefika wakati serikali lazima iweke uwiano sawa wa mgawanyo wa fedha za miradi ya maji kwenye mikoa na sehemu zenye upungufu mkubwa wa Maji hapa nchini.
Akitolea mfano jimboni kwake alisema bajeti ya mwaka huu kwa jimbo lake...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-atPiEOAXNdQ/VSj-PeSonnI/AAAAAAAArtU/1bgNdqB30IM/s72-c/mavoko-3.jpg)
Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe
![](http://3.bp.blogspot.com/-atPiEOAXNdQ/VSj-PeSonnI/AAAAAAAArtU/1bgNdqB30IM/s640/mavoko-3.jpg)
Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua Baaada ya blog hii kuweka Picha zake Hapa zikionyesha Kuwa Mweupe tofauti na zamani...Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya:
“Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljzUiklHmwFHlnolwnAidNHRhGELv5mq4FO4d2jpMqnRHxVojCRXX1S*DxNC93p2voNqfcFLFTsQiCpodiAyWNWP/zaricopy.jpg?width=650)
DHAMBI YA PASAKA!
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Mshahara wa dhambi ni mauti!
RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Mar
Dhambi ya ubaguzi inaiua CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema dhambi ya ubaguzi ndani ya CHADEMA inaiua na sio kwamba kuna mkono wa CCM.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa Mto wa Mbu.
Nape alisema CHADEMA inaelekea kufa kutokana na kukumbatia dhambi ya ubaguzi na umwagaji wa damu za wananchi wasio na hatia.
ìTulijua watasema kuwa sisi CCM tumeingiza mkono wetu ndani ya chama chao, hiyo si kweli....
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Spika, hutakwepa dhambi ya kulibomoa taifa
MARA mbili katika kipindi cha chini ya miaka miwili, Bunge la Tanzania limeonyesha vioja kwa kugeuka jukwaa la kutetea maslahi ya wenye nguvu – wanasiasa, wafanyabiashara wakubwa, mafisadi na wawekezaji matapeli.
Mara ya kwanza ni mwaka jana (2014), pale Bunge Maalumu la Katiba lilipoichana chana Rasimu ya Mapendekezo ya Katiba ya Tume ya Jaji Joseph Sinde Warioba, yaliyotokana na wananchi na badala yake likapandikiza chini ya usimamizi wa Spika, kwa sehemu kubwa, ibara zenye kutetea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7Ksdskwz3o6DK6JYYa-fEAXsJpLObZYuBUl0kSoUnEXj6398dnDw6BW36ugqAgpOwZT2pvchoS4FTzfh3fWHFt/CHEKANAKITIME.jpg)
MWEZI MTUKUFU, DHAMBI ZOTE POO!