KUWE NA MGAWANYO SAWA KWENYE MIRADI YA MAJI - TUNDU LISSU
![](http://4.bp.blogspot.com/-dhexU0o7-pI/U4yBU3yhPyI/AAAAAAAFnQY/qv3hCDbOo-k/s72-c/New+Picture+(1).png)
Serikali imeshauriwa kuweka mgawanyo sawa ya utekelezaji katika miraji ya Maji nchini ili kuondoa tatizo sugu la Maji kwa maeneo yenye ukame na upungufu mkubwa wa Maji.
Akichangia wakati wa bajeti ya Wizara ya Maji, mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu alisema imefika wakati serikali lazima iweke uwiano sawa wa mgawanyo wa fedha za miradi ya maji kwenye mikoa na sehemu zenye upungufu mkubwa wa Maji hapa nchini.
Akitolea mfano jimboni kwake alisema bajeti ya mwaka huu kwa jimbo lake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKHrXcHg31XWc8CTsVuMwjNHW*jW1v5rjxBXWEHYUS*H1EMukTSOwII9yuZJPCGDsx0u70k9WwvTRBPrHXJ78Fs/lissu.jpg?width=650)
Tundu Lissu…
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Tundu Lissu atikisa Bunge
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Tundu Lissu awalipua mgambo
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema anachukizwa na mgambo kuchangisha fedha za michango mbalimbali bila ya kujali kuwa wanazidisha umaskini kwa wananchi. Aidha, alisema kuwa serikali imekuwa...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
TUNDU LISSU AJIBU SHUTUMA ZA DR. SLAA
11 years ago
GPL16 Apr
10 years ago
GPLTUNDU LISSU ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tundu Lissu: Sitta ananitonesha vidonda
11 years ago
Habarileo22 May
Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Tundu Lissu apambana dakika 125