Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dhambi ya ubaguzi inaiua CHADEMA


CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema dhambi ya ubaguzi ndani ya CHADEMA inaiua na sio kwamba kuna mkono wa CCM.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa Mto wa Mbu.
Nape alisema CHADEMA inaelekea kufa kutokana na kukumbatia dhambi ya ubaguzi na umwagaji wa damu za wananchi wasio na hatia.
ìTulijua watasema kuwa sisi CCM tumeingiza mkono wetu ndani ya chama chao, hiyo si kweli....

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI

Askofu Eusebius Nzigirwa. WIKI iliyopita  niliandika mada juu ya viongozi wa dini kushindwa kunilisha neno juu ya sakata la Escrow. Nilikosoa mahubiri yao ya Sikukuu ya Krismasi yaliyoishutumu zaidi serikali katika ufisadi huku wakiacha kuwazungumzia viongozi wenzao wa dini ambao wanatajwa kujipatia mgao wa fedha zenye utata. Niliwaambia viongozi wa dini nchini kuwa, siyo sawa kujihusisha na utoaji wa kibanzi kwenye jicho la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

10 years ago

GPL

DHAMBI YA PASAKA!

Issa Mnally na Richard BukosAMA KWELI duniani kuna mambo! Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mtu yeye alijikuta akiiserebukia kwa fumanizi gesti, tena akiwa na mume wa mtu! Tukio hilo lilijiri Alhamisi Kuu maeneo Buza jijini Dar, mishale ya saa 7:00 usiku huku jamii ikiwa katika harakati za kununua hiki na kile kwa ajili ya Sikukuu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mshahara wa dhambi ni mauti!

RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini kujizulu kuwe dhambi?

TAIFA hivi sasa lipo katika homa ya uteuzi na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, vyote hivyo vinatarajiwa kufanyika wakati wowote kuanzia sasa baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ukawa mkifarakana, dhambi ya usaliti itawatafuna

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umekuwa katika misukosuko ambayo bila hekima na busara, uzalendo na ukomavu wa kisiasa wa viongozi na wanachama wake inawezekana kabisa tukawa tunazungumza lugha tofauti.

Ile ndoto na utabiri wa wasioitakia heri na mema nchi hii wa kufikia umoja huo kusambaratika inaweza kutimia na hilo bila shaka litakuwa anguko kuu la ukuaji wa demokrasia katika taifa lakini pia litakuwa pigo kubwa kwa harakati za ukombozi wa kweli wa Tanzania dhidi ya rushwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Wassira- Si dhambi kutamani kuwa Rais

KAMATI ndogo ya maadili ya CCM jana iliendelea kuhoji wanachama wake ambao wanatajwa kuanza harakati za urais kinyume na utaratibu wa chama. Jana ilikuwa zamu ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Steven Wassira.

 

10 years ago

Bongo Movies

MAINDA: Mastaa Bongo Wamejaa Dhambi

WAKATI tukiwa tunakaribia kumaliza mwaka 2014, msanii wa filamu Ruth Suka ‘Mainda’, amedai kuwa hakuna jambo ambalo mastaa wa Bongo wamelifanya zaidi ya kuchuma dhambi na kutumia muda mwingi kupigana majungu kuliko kumcha Mungu kwa matendo mema.

Akizungumza na gazeti la Uwazi, Mainda alisema kuwa ndani ya tasnia ya filamu bado mambo ni magumu kwani mastaa wengi wamekuwa nyuma na matendo ya Mungu kwa kufanya anasa kila kukicha huku wengine wakizidi kuchafuana kwa kupigana majungu.

“Ni kweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani