MAINDA: Mastaa Bongo Wamejaa Dhambi
WAKATI tukiwa tunakaribia kumaliza mwaka 2014, msanii wa filamu Ruth Suka ‘Mainda’, amedai kuwa hakuna jambo ambalo mastaa wa Bongo wamelifanya zaidi ya kuchuma dhambi na kutumia muda mwingi kupigana majungu kuliko kumcha Mungu kwa matendo mema.
Akizungumza na gazeti la Uwazi, Mainda alisema kuwa ndani ya tasnia ya filamu bado mambo ni magumu kwani mastaa wengi wamekuwa nyuma na matendo ya Mungu kwa kufanya anasa kila kukicha huku wengine wakizidi kuchafuana kwa kupigana majungu.
“Ni kweli...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/Nzigilwa-bishop.png?width=650)
ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovC1fOoG2i-c72Gy3DCURYnvzga95dH4Q1tV8eVYoSZ2JPr70LVPpPfMKcl7SjFUmIr3B*aehdLCpfG9dPRhfmiQ/ufuska.jpg?width=650)
UFUSKA WA MASTAA BONGO
10 years ago
Vijimambo16 Jan
Mastaa wa Bongo Movie ni “Masnichi”
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/wolper113.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNPhflpvlBf10vCkhVM8CUplxDjz0IQ9DbrY020KupW2G*2JlYrw4tgNk1YJxm-6YyYun2H2CrWEwdpEHt52LiMO/Mastaa.jpg)
MASTAA NA UPEPO WA KISIASA BONGO!!!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yre*uwnCtDp*LEEP88o68WxR78JZEk8U1VSVDhmAwS7WfPYbNVGv3m*bFu81-u74gr4MZIbb5qMsZBDVHyQtMg/mastaa.jpg)
MASTAA BONGO WAPEWA SOMO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqwsbZOC0lv5wwEkdbgnLL*QVVtcHFQfEIhZRYQJGFEV2bQVY5O1zXBtWP7p-P8NrKnVoewDvkty074dIxR2owp/mastAA.jpg?width=650)
MASTAA WAJIENGUA BONGO MUVI
9 years ago
Mtanzania16 Sep
MC Simon awaponda mastaa wa Bongo Movie
NA SHARIFA MMASI
MSHEREHESHAJI mahiri nchini, Simon Mbwana, maarufu kwa jina la MC Simon, amewatupia lawama waandaaji na watunzi wa filamu za kibongo nchini kwamba hawana upeo mpana katika utunzi wao.
Alisema katika filamu yake anayotarajia kuiachia muda wowote ikikamilika itaonyesha mfano wa kuigwa na wakongwe hao katika utunzi na uchezaji anaoamini utaondoa pengo kubwa lililopo katika utunzi wa hadithi za tamthilia za kibongo.
“Tanzania ipo nyuma kimaendeleo katika filamu kwa kuwa si...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH*yMRkFw9Rtq0FdUQnFrYaoOm85pCcqDTOALjkdrd4qp3dtWQf5zSPI7tfxDmRHI9EUrv75kBy4Y1e1Y5jx2Ax5/Malope.jpg?width=650)
OFM YAMNASA MGANGA WA MASTAA BONGO