Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA BONGO WAPEWA SOMO

Stori: Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa filamu aliyekuwa akifanya shughuli zake katika nchi mbalimbali Afrika na Ulaya, Adili Matontu amewapa somo waigizaji wa Bongo kwa kuandaa kazi zenye ubora wa kimataifa. Akizungumza na mwandishi wetu, Adili ambaye ni mtanzania, amesema kwa muda mrefu amekuwa akilitazama soko la filamu Bongo likishindwa kuvuka mipaka na tatizo kubwa likiwa ni ubora wa kazi na uhalisia hivyo akaona aoneshe mfano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)

Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

OUT wapewa somo la mapato

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahimu Msengi amewashauri viongozi wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato badala ya kutegemea ada na ruzuku ya Serikali katika kujiendesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakuu wa wilaya wapewa somo

p>SERIKALI imewaagiza wakuu wa wilaya kulinda ipasavyo misitu iliyopo kwenye maeneo yao ili kuhifadhi maliasili zote zilizopo ikiwemo vyanzo vya maji. Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Tabora,...

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa elimu wapewa somo

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imetoa jukumu zito kwa wakuu wa shule na maofisa elimu wa kata kusimamia kwa ukamilifu na kufuatilia shughuli za ufundishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu, kuwa zinatekelezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wauguzi nchini wapewa somo

WAUGUZI nchini wametakiwa kufahamu kuwa wao ni nguzo muhimu katika sekta ya afya na kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu, ili waweze kukumbukwa na jamii pindi watakapostaafu. Kauli hiyo ilitolewa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uwaki wapewa somo Kibaha

IMEELEZWA kuwa ukosefu wa uwazi, uwajibikaji na ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo mbali mbali ya kazi huchangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa utawala bora. Hayo yalielezwa jana mjini...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa walioshindwa wapewa somo

VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa siasa wapewa somo

ASKOFU Julius Bundala wa Kanisa la PHAM katika Kanda ya Kati ameshauri viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuwashinikiza wananchi kiitikadi wakati wanapofikia muda wa kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu ukocha wapewa somo

WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani