Si dhambi kumjadili Mwalimu tunapotaka mabadiliko
Hakuna ubishi kwamba Mwalimu Julius Nyerere, ni kati ya wanasiasa na wanazuoni walioyatamani mabadiliko na kufanya kazi kubwa ili kuyaleta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI
Askofu Eusebius Nzigirwa. WIKI iliyopita niliandika mada juu ya viongozi wa dini kushindwa kunilisha neno juu ya sakata la Escrow. Nilikosoa mahubiri yao ya Sikukuu ya Krismasi yaliyoishutumu zaidi serikali katika ufisadi huku wakiacha kuwazungumzia viongozi wenzao wa dini ambao wanatajwa kujipatia mgao wa fedha zenye utata. Niliwaambia viongozi wa dini nchini kuwa, siyo sawa kujihusisha na utoaji wa kibanzi kwenye jicho la...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Kwa siasa hizi tutafika tunapotaka?
WANASHERIA wana msemo wao kwamba si tu haki itendeke, bali ionekane imetendeka. Naam, baada ya kupata taarifa kwamba Ridhiwani Kikwete ameteuliwa na chama chake kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze,...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Korti Yaizuia Chadema kumjadili Zitto
Mahakama Kuu Tanzania, imeizuia kwa muda Kamati Kuu ya Chadema kujadili ajenda zozote zinazomhusu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe hadi ombi lake la rufaa litakaposikilizwa.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema: Hatukuzuiwa kumjadili Zitto Kabwe
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa Mahakama Kuu haikuzuia kikao cha Kamati Kuu yake kujadili mambo mengine yanayomhusu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe bali uanachama wake pekee.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili
Wakati kamati ya maadili ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikianza kumjadili, rais wa shirikisho hilo, Sepp Blatter ameiponda.
9 years ago
Michuzi
WASOMI KUMJADILI RAIS DK. MAGUFULI UDSM JUMAPILI


10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu. Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania