Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASOMI KUMJADILI RAIS DK. MAGUFULI UDSM JUMAPILI

Waandaaji wa Mdajala kuhusu Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli, aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge mjini Dodoma, wakizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CCM Blog

WASOMI KUJADILI HOTUBA YA RAIS DK. MAGUFULI ALIYOITOA WAKATI WA KUFUNGUA BUNGE MJINI DODOMA

Waandaaji wa Mdajala kuhusu Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli, aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge mjini Dodoma, wakizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.


 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Ibada ya Jumapili ya Tano baada ya Pasaka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chato mkoani Geita leo tarehe 17 Mei 2020.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chato mkoani Geita leo tarehe 17 Mei 2020 mara...

 

9 years ago

Mwananchi

UDSM yajivunia ushindi wa Dk Magufuli

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), Profesa Rwekaza Mukandala amempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania na kusema ushindi huo ni fahari kwa chuo hicho kwa sababu yeye alisoma katika chuo hicho shahada ya kwanza (1988), umahiri (Masters) (1994) na uzamivu (Phd) (2009).

 

9 years ago

Habarileo

Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli

WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli apasua vichwa wasomi

WAKATI wananchi wengi wakipongeza hatua ya Rais Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi vyuo vikuu wamkubali Magufuli

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania limemwelezea mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli kuwa ana uwezo mkubwa wa kusimamia masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaifa, hivyo anafaa kupeperusha bendera ya CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko

Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamekemea kauli ya mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ambaye amekuwa akiwaonya wanaotaka mabadiliko ya haraka nchini akiwakumbusha yaliyojitokeza nchini Libya.

 

9 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli

SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS SAMIA AZINDUA KONGAMANO LA UVCCM WASICHANA UDSM



Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa akimvisha Skafu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akilipowasuili katika ukumbi wa Urafiki Jijini Dar es salaam leo 16 Febuari 2020 kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani