Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli
WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Wasomi wapongeza makatibu wakuu
WAKATI makatibu wakuu wateule na manaibu wao wanaapishwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam, baadhi ya wasomi wamesema uteuzi wao ambao ameufanya Rais John Magufuli unalenga kuisaidia nchi iweze kuingia kwenye uchumi wa Viwanda.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Wasomi wapongeza JK kuhusu Escrow
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini, limesema uamuzi aliotoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni sahihi na haukumuonea mtu.
10 years ago
Habarileo15 Jul
Wasomi waitabiria CCM ushindi
WASOMI na wanaharakati mbalimbali nchini kwa kumteua Dk John Magufuli kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, chama hicho kimempata mgombea sahihi, asiye na makundi pia kimezingatia jinsia baada ya kumchagua mgombea mwenza mwanamke, Samia Suluhu Hassan.
9 years ago
Habarileo28 Nov
Wazazi wapongeza kasi ya Magufuli
RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi wake sambamba na maelekezo kadhaa ambayo amekwisha yatoa katika muda mfupi aliokuwa madarakani. Pongezi hizo zilitolewa jana na Jumuiya ya Wazazi CCM ambao amepongeza hatua ambazo zimeanza kuchukuliwa na Rais Magufuli katika kipindi cha wiki tatu toka kuapishwa kwake ambapo jumuiya hiyo imesema ni imani yao kuwa nchi imepata kiongozi shupavu mwenye kusimamia kauli zake.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Wenyeviti CCM wapongeza kasi ya Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamempongeza kwa dhati Rais Dk. John Magufuli kwa kasi ya utendaji wake.
Kwa mujibu wa wenyeviti hao, kasi ya Rais Magufuli hasa ya kuwachukulia hatua watendaji wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ni kazi inayokwenda sambamba na utekelezaji wa ilani ya chama hicho.
Pongezi hizo zimetolewa Mwenyekiti wa Wanyeviti wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ramadhani Madabida alipozungumza na waandishi wa habari,...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli
Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.
Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s72-c/IMG_6785.jpg)
WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s640/IMG_6785.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4uxGc5E8chU/VmQ_7JWOFxI/AAAAAAAIKeg/yp3rFTEtnHo/s640/IMG_6788_1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...