Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli

WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wasomi wapongeza makatibu wakuu

WAKATI makatibu wakuu wateule na manaibu wao wanaapishwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam, baadhi ya wasomi wamesema uteuzi wao ambao ameufanya Rais John Magufuli unalenga kuisaidia nchi iweze kuingia kwenye uchumi wa Viwanda.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi wapongeza JK kuhusu Escrow

Rais Jakaya Kikwete.SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini, limesema uamuzi aliotoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni sahihi na haukumuonea mtu.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waitabiria CCM ushindi

Dk John MagufuliWASOMI na wanaharakati mbalimbali nchini kwa kumteua Dk John Magufuli kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, chama hicho kimempata mgombea sahihi, asiye na makundi pia kimezingatia jinsia baada ya kumchagua mgombea mwenza mwanamke, Samia Suluhu Hassan.

 

9 years ago

Habarileo

Wazazi wapongeza kasi ya Magufuli

RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi wake sambamba na maelekezo kadhaa ambayo amekwisha yatoa katika muda mfupi aliokuwa madarakani. Pongezi hizo zilitolewa jana na Jumuiya ya Wazazi CCM ambao amepongeza hatua ambazo zimeanza kuchukuliwa na Rais Magufuli katika kipindi cha wiki tatu toka kuapishwa kwake ambapo jumuiya hiyo imesema ni imani yao kuwa nchi imepata kiongozi shupavu mwenye kusimamia kauli zake.

 

9 years ago

Mwananchi

Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdallah Safari amemshauri Rais John Magufuli kuipitia upya mikataba ya madini na kuifanyika marekebisho ili kuboresha maisha ya Watanzania.

 

9 years ago

Mtanzania

Wenyeviti CCM wapongeza kasi ya Magufuli

magufuli1_55a2dfc75cd8dNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamempongeza kwa dhati Rais Dk. John Magufuli kwa kasi ya utendaji wake.

Kwa mujibu wa wenyeviti hao,   kasi ya Rais   Magufuli hasa ya kuwachukulia hatua watendaji wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ni kazi inayokwenda sambamba na utekelezaji wa ilani ya chama hicho.

Pongezi hizo zimetolewa Mwenyekiti wa Wanyeviti wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ramadhani Madabida alipozungumza na waandishi wa habari,...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli

DSCN5521

Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.

DSCN5520

Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...

 

9 years ago

Dewji Blog

BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!

bakwataa

Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.

Na Nathaniel Limu

[SINGIDA]

Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi  kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.

Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...

 

9 years ago

Michuzi

WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE

 Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ramadhan Madabida akizungumza na waandishi wa habari (hayupo pichani) juu ya kazi inayofanywa na Rais Dk. John Magufuli leo jijini Dar es Salaam. Waandishi wa habari wakimfatilia Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ,Ramadhan Madabida leo jijni Dar es Salaam
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani