Wasomi wapongeza JK kuhusu Escrow
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini, limesema uamuzi aliotoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni sahihi na haukumuonea mtu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Wasomi wapongeza makatibu wakuu
WAKATI makatibu wakuu wateule na manaibu wao wanaapishwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam, baadhi ya wasomi wamesema uteuzi wao ambao ameufanya Rais John Magufuli unalenga kuisaidia nchi iweze kuingia kwenye uchumi wa Viwanda.
9 years ago
Habarileo30 Oct
Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli
WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wasomi wagawanyika kuhusu Serikali Tatu
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya
WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni
10 years ago
Habarileo26 Dec
Moravian wampongeza JK kuhusu Escrow
KANISA la Moravian Tanzania, limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kitendo cha kuonesha usikivu na kuchukua hatua stahiki mapema kwa kuwawajibisha baadhi ya watuhumiwa waliodaiwa kuhusika katika suala la Escrow ili kurejesha imani ya wananchi kwa Serikali.
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Kafulila ahojiwa na Takukuru kuhusu ESCROW
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha ushahidi wake kwa maandishi kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake ni kwanini anataka Bunge lichunguze badala ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali na Takukuru
Kafulila ametoa andiko la kurasa saba kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru huku nakala zikitolewa kwa Spika wa Bunge na Mkaguzi na...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow