Kafulila ahojiwa na Takukuru kuhusu ESCROW
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha ushahidi wake kwa maandishi kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake ni kwanini anataka Bunge lichunguze badala ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali na Takukuru
Kafulila ametoa andiko la kurasa saba kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru huku nakala zikitolewa kwa Spika wa Bunge na Mkaguzi na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vOxVuYnxcIo/VbiBHHIcBOI/AAAAAAABS4M/n1AdsztP90A/s72-c/MWIGULUNCHEMBA.jpg)
MWIGULU AHOJIWA MASAA MATATU NA TAKUKURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-vOxVuYnxcIo/VbiBHHIcBOI/AAAAAAABS4M/n1AdsztP90A/s640/MWIGULUNCHEMBA.jpg)
Ofisi ya Takukuru mkoani Singida imemuhoji kwa masaa kadhaa naibu waziri wa fedha na aliye kuwa mbunge wa Iramba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, kwa tuhuma za kukiuka sheria ya garama ya uchaguzi na sheria ya kuzui na kupambana na rushwa.Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa Takukuru mkoani Singida Bwana Joshua Msuya amesema Mheshimiwa Mwigulu Nchemba amekiuka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007 katika zoezi linalo ndelea la kura za maoni ndini ya vyama vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PL4B51ylcyH2l1OGlnZAEZPGWM2mYUudA6j52D4aeZAmst8dV0JuOKDsID6lsZcNTSTP7lJtA1U*n2bOI9Ffa5Q/IMG_0036.jpg)
SAKATA LA ESCROW: OFISA WA IKULU AHOJIWA NA TUME YA MAADILI
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Kafulila azidi kukomaa na Escrow
10 years ago
Habarileo07 Feb
Kafulila akwama kufufua ya Escrow
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Escrow yampa tuzo Kafulila
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Mtoto wa miaka 8 ahojiwa kuhusu ugaidi
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Sarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi