Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAKATA LA ESCROW: OFISA WA IKULU AHOJIWA NA TUME YA MAADILI

Ofisa wa Ikulu, Rajab Shaban (katikati) akitoka katika chumba cha mahojiano.
Tume ya Maadili, katikati ni Jaji Hamis Msumi.
Rajab Shaban akitoa ufafanuzi kuhusu kashfa ya kuingiziwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafagilia Tume ya Maadili suala la Escrow

VIONGOZI wa asasi wa kiraia nchini wameelewa kuridhishwa na jinsi Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilivyosimamia na kuendesha mashauri yake kwa uwazi dhidi ya watuhumiwa wa kujipatia fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge. ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge amekataa kuhojiwa mbele ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa umma juu ya tuhuma za kunufaika na fedha zilizotoka katika akaunti ya Tegeta Escrow, wakati alipoitika...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akisoma taarifa ya kukamilika kwa uchunguzi dhidi ya aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi kuhusu kuhusika kwake na kashfa ya Escrow na ile ya tume ya uchunguzi wa malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa operesheni tokomeza mapema hii leo jijini Dar es Salaam , kulia niMwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais Bi. Premi Kibanga.

 

11 years ago

Michuzi

MH. MEMBE PIA AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM mjini Dodoma leo Februari 16,2014. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ambapo alisema Kamati ya Maadili imeuliza masuala mazito na maswali magumu yanayohusiana na uvunjaji wa maadili...

 

11 years ago

GPL

MEMBE NAYE AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM MJINI DODOMA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ambapo alisema Kamati ya Maadili imeuliza masuala mazito na maswali magumu yanayohusiana na uvunjaji wa maadili ya uongozi wa chama. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza na… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Chenge apandishwa ‘kizimbani’ ahojiwa kukiuka maadili ya viongozi wa umma

DSCN9001

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akijianda kutoka nje ya ukumbi wa Karimjee ausbuhi ya leo.

…Maamuzi magumu kutolewa kesho Februari 26

 Na Andrew Chale wa modewjiblog 

LISAA limoja lililopita Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge amepandishwa kizimbani  katika kikaango cha kukiuka maadili ya viongozi wa umma, chini ya Tume  ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili lililoketi,  jijini Dar es Saalam asubuhi ya leo.

Katika shauri linalomkabili Chenge ni dhidi ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kafulila ahojiwa na Takukuru kuhusu ESCROW

escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha  ushahidi wake kwa maandishi  kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake ni kwanini anataka Bunge lichunguze badala ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali na Takukuru

Kafulila ametoa andiko la kurasa saba kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru huku nakala zikitolewa kwa Spika wa Bunge na Mkaguzi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani