Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafagilia Tume ya Maadili suala la Escrow

VIONGOZI wa asasi wa kiraia nchini wameelewa kuridhishwa na jinsi Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilivyosimamia na kuendesha mashauri yake kwa uwazi dhidi ya watuhumiwa wa kujipatia fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAKATA LA ESCROW: OFISA WA IKULU AHOJIWA NA TUME YA MAADILI

Ofisa wa Ikulu, Rajab Shaban (katikati) akitoka katika chumba cha mahojiano.
Tume ya Maadili, katikati ni Jaji Hamis Msumi.
Rajab Shaban akitoa ufafanuzi kuhusu kashfa ya kuingiziwa…

 

10 years ago

Mtanzania

Raza aibukia suala la Escrow

Na Patricia Kimelemeta

MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...

 

10 years ago

Habarileo

Wanazuoni Dodoma waja juu suala la Escrow

UMOJA wa wanazuoni wa Vyuo Vikuu Dodoma umeunga mkono kauli ya jumuiya ya wanazuoni vijana wa Tanzania ya kuponda ripoti ya kamati ya kudumu ya hesabu za serikali (PAC) na wamemwomba Rais Jakaya Kikwete asitekeleze maazimio hayo.

 

10 years ago

Habarileo

DC akaangwa Tume ya Maadili

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Anna Mwalende ameanika mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma ushahidi wake dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba na kueleza namna alivyodhalilishwa na kunyanyaswa pamoja na viongozi wengine.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tutamfikisha DC tume ya maadili’

Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha imepinga kitendo cha Mkuu wa wilaya hiyo, Felix Ntibenda kuwakamata na kuwaweka rumande maofisa watendaji sita na walimu wakuu watatu kwa kuzembea ujenzi maabara katika shule zao.

 

10 years ago

GPL

CHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI

Mh.Andrew Chenge akitoa ufafanuzi mbele ya Mwenyekiti wa Tume ya Maadili Jaji Hamis Masami. Baadhi ya viongozi wa Tume ya Maadili sambamba na wanahabari  katika chumba cha mahohojiano.
MHESHIMIWA Mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge anayetuhumiwa kwa kashfa ya Escrow jana amekata rufaa mbele ya ya…

 

10 years ago

GPL

TUME YA MAADILI YAMHOJI MEYA MANISPA YA TABORA

Mstahiki Meya wa Kanda ya Magharibi ,Tabora Mh.Gulan Hussein Dewji akiapishwa kabla ya mahojiano na Tume ya Maadili.   ....mstahiki meya akifafanua jambo wakati wa utetezi wake.…

 

10 years ago

StarTV

LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam,

 

 

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.

 

Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge. ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge amekataa kuhojiwa mbele ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa umma juu ya tuhuma za kunufaika na fedha zilizotoka katika akaunti ya Tegeta Escrow, wakati alipoitika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani