Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanazuoni Dodoma waja juu suala la Escrow

UMOJA wa wanazuoni wa Vyuo Vikuu Dodoma umeunga mkono kauli ya jumuiya ya wanazuoni vijana wa Tanzania ya kuponda ripoti ya kamati ya kudumu ya hesabu za serikali (PAC) na wamemwomba Rais Jakaya Kikwete asitekeleze maazimio hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wanazuoni wakutana kujadili suala la 'Msimamo Mkali katika Dini' Maana, Matukio, Sababu na Suluhisho

Mwenyekiti wa Baraza la wadhamini la Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, Shehe Abdallah Ndanga (kushoto), akizungumza wakati wa kongamano kuhusu ‘Msimamo Mkali katika Dini, Maana, Matukio, Sababu na Suluhisho’ lililowashirikisha viongozi kutoka zaidi ya misikiti 100 , viongozi wa taasisi za kiislamu, wanazuoni, na vijana wanaoendesha harakati za kiislamu katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kushoto kwake ni baadhi wa viongozi wa umoja huo; Shehe...

 

10 years ago

Habarileo

ESCROW: Wanazuoni waukubali ukweli kuhusu Prof Tibaijuka

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna TibaijukaWANAZUONI, wanasiasa na wananchi wamepongeza ufafanuzi wa Bodi ya Wadhamini ya Joha Trust kuhusu mchango wa Sh bilioni 1.617 kutoka kwa Mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira kwa shule za Joha.

 

10 years ago

Mtanzania

Raza aibukia suala la Escrow

Na Patricia Kimelemeta

MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...

 

10 years ago

Habarileo

Wafagilia Tume ya Maadili suala la Escrow

VIONGOZI wa asasi wa kiraia nchini wameelewa kuridhishwa na jinsi Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilivyosimamia na kuendesha mashauri yake kwa uwazi dhidi ya watuhumiwa wa kujipatia fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapinzani Ukraine waja juu

Viongozi wa upinzani nchini Ukraine wamedai kufahamishwa ni jambo gani ambalo Rais Viktor Yanukovych, ameipatia Russia.

 

10 years ago

Mtanzania

Masheikh waja juu Mahakama ya Kadhi

5Na WAANDISHI WETU
VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamepinga tamko lililotolewa na Jukwaa la Wakristo kuhusu sheria hiyo ya kuanzishwa Mahakama ya Kadhi na kudai kuwa matamko ya aina hiyo yanaweza kusababisha machafuko nchini.
Kauli hiyo zimekuja siku moja baada ya Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) kutoa waraka, likipinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote.

Akizungumza na MTANZANIA Imamu wa Msikiti wa Idrisa uliopo Kariakoo, jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakili kesi ya Mwale waja juu

MAWAKILI wa utetezi kwenye shauri la utakatishaji fedha linalowakabili washitakiwa wanne akiwemo wakili maarufu, jijini hapa, Median Mwale, wameibua hoja juu ya uhalali wa kutumika kwa sheria ya kuzuia utakatishaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waja juu, wahoji uuzwaji wa hisa UDA

Uuzwaji wa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) jana uliibuka upya bungeni baada ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kuhoji sababu za Serikali kufuta kesi kuhusu utata wa mauzo hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani