Masheikh waja juu Mahakama ya Kadhi
Na WAANDISHI WETU
VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamepinga tamko lililotolewa na Jukwaa la Wakristo kuhusu sheria hiyo ya kuanzishwa Mahakama ya Kadhi na kudai kuwa matamko ya aina hiyo yanaweza kusababisha machafuko nchini.
Kauli hiyo zimekuja siku moja baada ya Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) kutoa waraka, likipinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote.
Akizungumza na MTANZANIA Imamu wa Msikiti wa Idrisa uliopo Kariakoo, jijini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Masheikh: Maaskofu msiingilie mchakato wa mahakama ya kadhi
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TAASISI ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, imepinga tamko la maaskofu kuhusu kuzuia kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na kusema hatua hiyo ni sawa na kuingilia uhuru wa Bunge.
Kutokana na hali hiyo, wametaka maaskofu hao kupitia Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), kuwaacha wabunge ili waweze kujadili muswada huo kwa uhuru bila kuwapo shinikizo katika suala hilo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa taasisi hiyo, Sheikh Khamis Mataka,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UFoPIqQSGQ/VTfNzbIBCsI/AAAAAAAHSlM/2Ho8DN2sAOI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hn2IJ-Sikyo/VTfNzSW52oI/AAAAAAAHSlY/nwInPgfCaa0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NZUThdF43tM/VTfN0Kk3KXI/AAAAAAAHSlo/5BI8PVaCODs/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dol2qq6_UzU/VTfN0dIu_-I/AAAAAAAHSlg/iMtO0DobQ5Y/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Masheikh Dar es Salaam wamjia juu Makonda
MASHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam wamelaani kauli zilizotolewa na Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda, ya kuwahusisha na...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mahakama ya Kadhi Utata
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Mahakama ya Kadhi yazikwa
![Samia Hassan Suluhu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Samia-Hassan-Suluhu.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan
Rachel Mrisho, Dodoma
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge la Bunge Maalumu la Katiba na kuundiwa kamati ndogo iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hasan, limezikwa rasmi.
Hali hiyo imejidhihirisha jana kutokana na kutozungumziwa katika uwasilishaji wa maoni ya walio wengi, wakati kamati hizo zikiwasilisha maoni yake juu ya sura ya tisa na 10.
Imedaiwa...
10 years ago
Habarileo30 Sep
Mahakama ya Kadhi yaleta maridhiano
HOFU ya Mahakama ya Kadhi, kugawa Bunge Maalumu la Katiba na kusababisha kukwama kwa upatikanaji wa Katiba Inayopendekezwa, imeondoka jana na kugeuka kiunganishi cha kurahisisha upitishwaji wa Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa.
10 years ago
Habarileo08 Feb
Mahakama ya Kadhi yasogezwa mbele
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.
10 years ago
Habarileo29 Mar
JK aweka msimamo Mahakama ya Kadhi
RAIS Jakaya Kikwete amefafanua msimamo wa Serikali katika mjadala unaoendelea wa Mahakama ya Kadhi, na kuweka wazi kuwa Serikali haina mpango wa kuianzisha, wala kuiendesha.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Pinda aiokoa Mahakama ya Kadhi