‘Tutamfikisha DC tume ya maadili’
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha imepinga kitendo cha Mkuu wa wilaya hiyo, Felix Ntibenda kuwakamata na kuwaweka rumande maofisa watendaji sita na walimu wakuu watatu kwa kuzembea ujenzi maabara katika shule zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Oct
DC akaangwa Tume ya Maadili
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Anna Mwalende ameanika mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma ushahidi wake dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba na kueleza namna alivyodhalilishwa na kunyanyaswa pamoja na viongozi wengine.
10 years ago
GPLCHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI
10 years ago
Habarileo02 Mar
Wafagilia Tume ya Maadili suala la Escrow
VIONGOZI wa asasi wa kiraia nchini wameelewa kuridhishwa na jinsi Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilivyosimamia na kuendesha mashauri yake kwa uwazi dhidi ya watuhumiwa wa kujipatia fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
GPLTUME YA MAADILI YAMHOJI MEYA MANISPA YA TABORA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PL4B51ylcyH2l1OGlnZAEZPGWM2mYUudA6j52D4aeZAmst8dV0JuOKDsID6lsZcNTSTP7lJtA1U*n2bOI9Ffa5Q/IMG_0036.jpg)
SAKATA LA ESCROW: OFISA WA IKULU AHOJIWA NA TUME YA MAADILI
10 years ago
StarTV30 Mar
LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam,
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.
Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xR-Xsq_7S78/VNyM52oRtwI/AAAAAAAAGYY/i54EPiPt_Dw/s72-c/IMG_4687.jpg)
TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAENDESHA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA KAMATI ZA MAADILI ZA MIKOA YA RUKWA KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xR-Xsq_7S78/VNyM52oRtwI/AAAAAAAAGYY/i54EPiPt_Dw/s1600/IMG_4687.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HRA7LsPu3X4/VNyM70jZBtI/AAAAAAAAGY0/eDc_6cXyhSM/s1600/IMG_4723.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2B1.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s640/picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-l5XlGmBTCic/XmikI1Bv_uI/AAAAAAALijM/Go9M5LmME3wzjeVSCXYFLMS-kTNmsEO7ACLcBGAsYHQ/s640/picha%2B2.jpg)