MWIGULU AHOJIWA MASAA MATATU NA TAKUKURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-vOxVuYnxcIo/VbiBHHIcBOI/AAAAAAABS4M/n1AdsztP90A/s72-c/MWIGULUNCHEMBA.jpg)
Ofisi ya Takukuru mkoani Singida imemuhoji kwa masaa kadhaa naibu waziri wa fedha na aliye kuwa mbunge wa Iramba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, kwa tuhuma za kukiuka sheria ya garama ya uchaguzi na sheria ya kuzui na kupambana na rushwa.Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa Takukuru mkoani Singida Bwana Joshua Msuya amesema Mheshimiwa Mwigulu Nchemba amekiuka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007 katika zoezi linalo ndelea la kura za maoni ndini ya vyama vya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Kafulila ahojiwa na Takukuru kuhusu ESCROW
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha ushahidi wake kwa maandishi kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake ni kwanini anataka Bunge lichunguze badala ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali na Takukuru
Kafulila ametoa andiko la kurasa saba kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru huku nakala zikitolewa kwa Spika wa Bunge na Mkaguzi na...
10 years ago
Vijimambo05 Jun
MWIGULU NCHEMBA KUCHUKUA FOMU YA URAIS NDANI YA MASAA 12 YAJAYO
![](https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/10641101_925892857472786_3959035191983897314_n.jpg?oh=819c7d359afa61336ae826de8370bf5a&oe=55F42DD1)
10 years ago
Vijimambo29 May
MWIGULU NCHEMBA KUTANGAZA NIA JUMAPILI HII YA KUWANIA URAIS,TANZANIA ITASIMAMA KWA MASAA 3 PALE DODOMA
![](http://api.ning.com/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jul
MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11755841_413287888873445_2106573133163130795_n.jpg?oh=9451fdf345acb2c75da9e79964a0ce81&oe=5615EC51&__gda__=1447533016_32aa9a5991df6cd0b6cf358fac954b12)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11800627_413287962206771_4754712698487591827_n.jpg?oh=941a7f964081720874405faec5869491&oe=56400105&__gda__=1447248947_9f0bfb1e592cc98af4338c6862498594)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11813446_413288078873426_9175769329529634210_n.jpg?oh=82148da2ca7fa081af44e702237fe9d2&oe=564BF80D)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11800298_413288192206748_6876444543487673492_n.jpg?oh=325138e014fca12e27f8ac823b042ec4&oe=56167396)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11752049_413288222206745_8195873578990887065_n.jpg?oh=e3074681d8f79860978335113350b32a&oe=565B295F&__gda__=1448523222_1f250c64c2c61c829a9a2e0a77da4251)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11755091_413288278873406_6272914591160075634_n.jpg?oh=e4143ad741f7dfaa1963f602e92f0fba&oe=5659D250)
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Bintimfalme Hispania ahojiwa mahakamani
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Makamba ahojiwa, ainanga CCM
NAIBU Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba, amehojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuikosoa CCM kwamba sio dhambi kutangaza nia mapema kuwania uongozi....
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10