Bintimfalme Hispania ahojiwa mahakamani
Bintimfalme wa Hispania amehojiwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi zinazomhusisha na biashara za mume wake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tumbili mwenye jina sawa na bintimfalme
Hifadhi moja ya wanyama huko Japan imelazimika kuomba msamaha baada ya kuipa tumbili jina sawa na la binti mfalme wa Uingereza Charlotte
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Makamba ahojiwa, ainanga CCM
NAIBU Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba, amehojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuikosoa CCM kwamba sio dhambi kutangaza nia mapema kuwania uongozi....
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar
 Wakati watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya Kilimanjaro II, kupata ajali na abiria kuzama baharini, nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za uongo kuhusu ajali hiyo imefahamika.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vOxVuYnxcIo/VbiBHHIcBOI/AAAAAAABS4M/n1AdsztP90A/s72-c/MWIGULUNCHEMBA.jpg)
MWIGULU AHOJIWA MASAA MATATU NA TAKUKURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-vOxVuYnxcIo/VbiBHHIcBOI/AAAAAAABS4M/n1AdsztP90A/s640/MWIGULUNCHEMBA.jpg)
Ofisi ya Takukuru mkoani Singida imemuhoji kwa masaa kadhaa naibu waziri wa fedha na aliye kuwa mbunge wa Iramba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, kwa tuhuma za kukiuka sheria ya garama ya uchaguzi na sheria ya kuzui na kupambana na rushwa.Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa Takukuru mkoani Singida Bwana Joshua Msuya amesema Mheshimiwa Mwigulu Nchemba amekiuka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007 katika zoezi linalo ndelea la kura za maoni ndini ya vyama vya...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Masogange ahojiwa ‘airport’ zaidi ya saa 10
>Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhuma za kukamatwa na dawa aina ya crystal methamphetamine huko Afrika Kusini, Julai mwaka jana.
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Sarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anashikiliwa akihojiwa kutokana na matumizi mabaya ya fedha za uchaguzi
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
>Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Singida, inamhoji Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa tuhuma za kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi na Sheria ya Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania