Moravian wampongeza JK kuhusu Escrow
KANISA la Moravian Tanzania, limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kitendo cha kuonesha usikivu na kuchukua hatua stahiki mapema kwa kuwawajibisha baadhi ya watuhumiwa waliodaiwa kuhusika katika suala la Escrow ili kurejesha imani ya wananchi kwa Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3ubN1TozjV0/VJpSZz4amBI/AAAAAAACUx0/jnhKu1-cu9o/s72-c/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg)
UVCCM WAMPONGEZA MHE RAIS JAKAYA KIKWETE KWA HOTUBA YENYE UFAFANUZI WA KUJITOSHELEZA KUHUSU ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ubN1TozjV0/VJpSZz4amBI/AAAAAAACUx0/jnhKu1-cu9o/s1600/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg)
Sisi Vijana tunampongeza kwa kubariki na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2L_mtRvSSxg/VJsy2KjEmnI/AAAAAAAG5rM/-lmDrQRfxdw/s72-c/Untitled1.png)
WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAMPONGEZA RAIS KUTEGUA KITENDAWILI CHA TEGETA ESCROW
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo na Elimu ya Juu Nchini wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutoa maamzi kwa wale ambao walihusika katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kwa kutengua uteuzi wake kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema pamoja na kusimamishwa kazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliackim Maswi.Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Wasomi wapongeza JK kuhusu Escrow
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini, limesema uamuzi aliotoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni sahihi na haukumuonea mtu.
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Kafulila ahojiwa na Takukuru kuhusu ESCROW
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha ushahidi wake kwa maandishi kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake ni kwanini anataka Bunge lichunguze badala ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali na Takukuru
Kafulila ametoa andiko la kurasa saba kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru huku nakala zikitolewa kwa Spika wa Bunge na Mkaguzi na...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Uongo kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow uachwe
10 years ago
Habarileo27 Dec
Bakwata yahimiza kuheshimiwa uamuzi wa JK kuhusu Escrow
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania kuheshimu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete na mamlaka zinazohusika kuhusu suala la akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Habarileo17 Dec
ESCROW: Wanazuoni waukubali ukweli kuhusu Prof Tibaijuka
WANAZUONI, wanasiasa na wananchi wamepongeza ufafanuzi wa Bodi ya Wadhamini ya Joha Trust kuhusu mchango wa Sh bilioni 1.617 kutoka kwa Mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira kwa shule za Joha.
10 years ago
MichuziRipoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa Bungeni leo