UVCCM WAMPONGEZA MHE RAIS JAKAYA KIKWETE KWA HOTUBA YENYE UFAFANUZI WA KUJITOSHELEZA KUHUSU ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ubN1TozjV0/VJpSZz4amBI/AAAAAAACUx0/jnhKu1-cu9o/s72-c/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg)
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) inampongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa hotuba yake nzuri iliyojaa ufafanuzi bayana wa masuala makubwa ya kitaifa, likiwemo suala la Akaunti ya Escrow ya Tegeta, yaliyoleta mkanganyiko kwa wananchi, aliyoitoa jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee alipozungumza na wazee wa jiji la Dar es salaam.
Sisi Vijana tunampongeza kwa kubariki na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wizara yatolea ufafanuzi Safari za Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nje ya Nchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari -Ziara za Rais .docx
11 years ago
Michuzi01 Aug
11 years ago
Dewji Blog03 Aug
11 years ago
Michuzi14 Feb
DIRA YA DUNIA TV YAZUNGUMZA NA Mhe. RAIS JAKAYA KIKWETE KUHUSU WANYAMA PORI
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0lcLfTS8dl4/default.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Mar
LUDEWA WAMPONGEZA RAIS DKT JAKAYA KIKWETE
Rais Dr Kikwete Na Francis Godwin Blog WANANCHI wa Ludewa mkoani Njombe wamempongeza Rais Dr Jakaya Kikwete kwa hatua yake ya kuwashirikisha wananchi wa maeneo husika katika suala la utatuzi wa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi
Hatua ya wananchi hao kumpongeza Rais Dr Kikwete imekuja huku ikiwa ni siku tatu zimepita toka mbunge wao wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe ,mbunge wa jimbo la Kyela Dk. Harrison Mwakyembe na mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-p98nduvtg48/VaKKad5l2RI/AAAAAAAAI6I/xnPLhZEb_y4/s72-c/Kikwete.jpg)
Hotuba Ya Mwenyekiti Wa CCM Taifa Mhe. Jakaya Kikwete kufunga Mkutano Mkuu wa chama 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p98nduvtg48/VaKKad5l2RI/AAAAAAAAI6I/xnPLhZEb_y4/s640/Kikwete.jpg)
Ni katika mkutano huu ambapo chama hicho kilimchagua Dr John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
Hii inakuwa mara ya mwisho kwa Mhe Kikwete kuwahutubia wajumbe wa mkutano huo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
Michuzi01 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4zYKYCYLjDI/VTEtOS-9TKI/AAAAAAAHRuU/amtVwjM7CBE/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Ujumbe Maalum wa Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenda kwa Sultan Qaboos wa Oman
![](http://3.bp.blogspot.com/-4zYKYCYLjDI/VTEtOS-9TKI/AAAAAAAHRuU/amtVwjM7CBE/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ptPGEZSALY/VTEtNjjs0xI/AAAAAAAHRuQ/hr_YXH3baEk/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eo3pbFq3Y4s/VTEtOmtvwUI/AAAAAAAHRuY/gN4VWh5R_q8/s1600/unnamed%2B(69).jpg)