Wenyeviti CCM wapongeza kasi ya Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamempongeza kwa dhati Rais Dk. John Magufuli kwa kasi ya utendaji wake.
Kwa mujibu wa wenyeviti hao, kasi ya Rais Magufuli hasa ya kuwachukulia hatua watendaji wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ni kazi inayokwenda sambamba na utekelezaji wa ilani ya chama hicho.
Pongezi hizo zimetolewa Mwenyekiti wa Wanyeviti wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ramadhani Madabida alipozungumza na waandishi wa habari,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s72-c/IMG_6785.jpg)
WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s640/IMG_6785.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4uxGc5E8chU/VmQ_7JWOFxI/AAAAAAAIKeg/yp3rFTEtnHo/s640/IMG_6788_1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Wenyeviti CCM waridhishwa kasi ya Magufuli
9 years ago
Habarileo28 Nov
Wazazi wapongeza kasi ya Magufuli
RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi wake sambamba na maelekezo kadhaa ambayo amekwisha yatoa katika muda mfupi aliokuwa madarakani. Pongezi hizo zilitolewa jana na Jumuiya ya Wazazi CCM ambao amepongeza hatua ambazo zimeanza kuchukuliwa na Rais Magufuli katika kipindi cha wiki tatu toka kuapishwa kwake ambapo jumuiya hiyo imesema ni imani yao kuwa nchi imepata kiongozi shupavu mwenye kusimamia kauli zake.
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli
Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.
Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Wenyeviti CCM wampa tano Rais Magufuli
WENYEVITI wa Mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini, wamempongeza na kuunga mkono hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kutumbua majipu. Wamempongeza Dk Magufuli kwa hatua za kubana matumizi ya umma, kuziba mianya ya rushwa, kupiga vita ubadhirifu wa mali ya umma na kurejesha nidhamu na uwajibikaji kwenye taasisi za umma na nchi kwa ujumla.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jUto5ePZgwg/VdCWqAv_PCI/AAAAAAABT_Y/p33FbmhdHaU/s72-c/MMGL9663.jpg)
DKT MAGUFULI APEWA MSIMAMO NA WENYEVITI WA CCM MIKOANI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jUto5ePZgwg/VdCWqAv_PCI/AAAAAAABT_Y/p33FbmhdHaU/s640/MMGL9663.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fs3PPeGew00/VaYCqg6ruDI/AAAAAAAHp1g/RUM8WeQ7E5s/s72-c/35.jpg)
CCM TAWI LA CHINA WAPONGEZA UTEUZI WA DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fs3PPeGew00/VaYCqg6ruDI/AAAAAAAHp1g/RUM8WeQ7E5s/s640/35.jpg)
9 years ago
Habarileo01 Dec
Kasi ya Magufuli, Majaliwa imeipa uhai CCM – January
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, January Makamba amesema kasi ya utendaji inayooneshwa na Rais John Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, imekipa uhai mpya chama chao na kwamba wanaCCM sasa wanatakiwa kutembea kifua mbele.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA