UDSM yajivunia ushindi wa Dk Magufuli
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), Profesa Rwekaza Mukandala amempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania na kusema ushindi huo ni fahari kwa chuo hicho kwa sababu yeye alisoma katika chuo hicho shahada ya kwanza (1988), umahiri (Masters) (1994) na uzamivu (Phd) (2009).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Dec
Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.
Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.
Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.
Hata hivyo Katibu wa...
9 years ago
Habarileo31 Aug
CCM yajivunia alama za Magufuli
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kujivunia kukubalika kwa mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli, kutokana na kazi alizofanya kuonekana katika kila mkoa na kila wilaya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s72-c/IMG_20151211_125213.jpg)
WASOMI KUMJADILI RAIS DK. MAGUFULI UDSM JUMAPILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s640/IMG_20151211_125213.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AJPZfgRUNwU/Vmu5FRkB-rI/AAAAAAAA1g4/j-FUNKF-0PA/s1600/TAARIFAAAAAA.jpg)
9 years ago
Habarileo26 Sep
Magufuli ajitabiria ushindi 95%
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amejitabiria ushindi wa ‘tsunami’ wa asilimia 95 na siyo 65 kama ilivyotajwa katika utafiti wa Taasisi ya Twaweza.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0T4D_Wnu0fQ/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema06 Nov
Sababu nane za ushindi wa Magufuli
HATIMAYE mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.
Paul Sarwatt
10 years ago
Habarileo11 Aug
Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.
9 years ago
Habarileo30 Oct
Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli
WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi