Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHANGWEKA NA USHINDI WA MAGUFULI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Magufuli ajitabiria ushindi 95%

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amejitabiria ushindi wa ‘tsunami’ wa asilimia 95 na siyo 65 kama ilivyotajwa katika utafiti wa Taasisi ya Twaweza.

 

9 years ago

Mwananchi

UDSM yajivunia ushindi wa Dk Magufuli

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), Profesa Rwekaza Mukandala amempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania na kusema ushindi huo ni fahari kwa chuo hicho kwa sababu yeye alisoma katika chuo hicho shahada ya kwanza (1988), umahiri (Masters) (1994) na uzamivu (Phd) (2009).

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.

 

9 years ago

Habarileo

Wasomi wapongeza ushindi wa Magufuli

WASOMI na wananchi wa kawaida wamesema ushindi wa Dk John Magufuli ni halali kwani matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi yanafanana na hali halisi na mapenzi waliyonayo Watanzania kwa mwanasiasa huyo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Sababu nane za ushindi wa Magufuli

HATIMAYE mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa Dk Magufuli ni matokeo ya utabiri wa PCM

Kwa wanaopenda kusoma vitabu au kuangalia sinema za documentary hapana shaka watakumbuka kitabu au sinema ya mambo ya utabiri, inayoitwa ‘The man who saw tomorrow’, mwandishi wake ni mtabiri wa Ufaransa Michel de Notredame au kwa jina maarufu alijulikana kama Nostradamus. Huyu alitabiri mambo mengi ambayo yametokea katika dunia ya sasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amemkabidhi cheti cha ushindi wa urais Dk John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania

Mgombea urais kupitia chama cha CCM John Mafuguli amepewa cheti cha ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.

 

9 years ago

Michuzi

Watanzania London washerehekea ushindi wa Dkt. Magufuli

Vijana wa Kitanzania jijini London wakisherehekea ushindi wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Mgufuli jijini humo usiku wa kuamkia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani