Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Njovu hii ndiyo Yanga ya ahadi kebekebe

Katikati ya wiki iliyopita, Klabu ya Yanga ilimtangaza Beno Njovu kuwa Katibu Mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Lawrance Mwalusako. Hongera Njovu kwa uteuzi huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Njovu aachia ukatibu Yanga

Katibu mkuu wa Yanga, Beno Njovu amemwaga manyanga baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa mwaka mmoja.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA YANYAKUWA UBIGWA MARA YA 24


Shabiki wa Yanga akifurahia UBIGWA baada ya kuibwaga polisi Moro bao 4 kwa 1.Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada yaTabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshida 4-1. (Picha na FrancisDande)Mashabikiwa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe.MshambuliajiWa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezowa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara...

 

9 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA SC INA KIKOSI BORA ‘KILICHOSHIBA’


Mlinzi wa kati wa Yanga Vicent Bosou ambaye amecheza kwa dakika zote 90 kwa mara ya kwanza wakati Yanga ikicheza dhidi ya Toto Africans 
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Licha ya wachezaji wake kuendelea kuendelea kukosa kujiamini wapatapo ‘mkwaju wa penati’, washambuaji wa Yanga SC ameendelea kufunga magoli ya kutosha na kujikita katika kilele cha msimamo. Mlinzi wa kulia, Juma Abdul alifunga goli ‘maridadi’ la mkwaju wa mita zisizopungua 23 mapema dakika ya 9’ wakati Yanga ikicheza na...

 

9 years ago

Vijimambo

KUTOKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO HII NDIYO YANGA 2 MTIBWA 0


Baada ya kuvunja uteja kwa watani wao wa jadi Simba Taifa sasa waendeleza kuvunja uteja ndani ya uwanja wa jamhuri wakiwazamisha walima miwa wa mashamba ya mtibwa kwa bao 2 bila majibu. Mtibwa wapisha njia wenyewe kwa kulala na kipigo sawa na walichopewa Simba jumamosi iliyopita.Yanga sasa mambo mbele kwa mbele wazidi kuwa watamu uwanjani.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA NA MBIO ZA KUUSAKA UBIGWA KIMYA KIMYA TU UNAISOMA

Yanga imerejea kileleni Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Prisons ya Mbeya kwa mabao 3-0.Ushindi huo umeifanya Yanga kufikisha pointi 48 dhidi ya Azam FC yenye 46 ambayo imelazimishwa sare ya bila mabao dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.Yanga imebuka na ushindi huo mnono kwenye Uwanja wa ugenini wa Sokoine jijini Mbeya ikiwa ni baada ya viungo wake Simon Msuva na Andrey Coutinho kufunga.Msuva amepachika mabao mawili, huku Coutinho na kukamilisha idadi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta unakumbuka ahadi hii!

UPO usemi kwamba ukiwa muongo, basi uwe na kumbukumbu ya kile ulichokisema jana yake. Hivi ndivyo naweza kumkumbusha Samuel Sitta, Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalum la Katiba ambalo lilikutana kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani