Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Njovu aachia ukatibu Yanga

Katibu mkuu wa Yanga, Beno Njovu amemwaga manyanga baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa mwaka mmoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Njovu hii ndiyo Yanga ya ahadi kebekebe

Katikati ya wiki iliyopita, Klabu ya Yanga ilimtangaza Beno Njovu kuwa Katibu Mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Lawrance Mwalusako. Hongera Njovu kwa uteuzi huo.

 

9 years ago

Habarileo

Waandishi wajitosa ukatibu CCM

WAANDISHI wa habari wawili Mkoani Arusha wamejitokeza kuwania nafasi ya ukatibu wenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Januari 28 mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kuziba nafasi zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif arudisha fomu za ukatibu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho huku akisisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Nagu ashauri shahada ya Ukatibu Muhtasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu amekitaka Chuo cha Utumishi wa Umma kuanza kutoa shahada ya ukatibu muhtasi ili wawe bora zaidi kwenye utekelezaji wa majukumu yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Maalim Seif mgombea pekee ukatibu mkuu CUF

>Wakati Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad (Maalim Seif) akiwa mgombea pekee wa nafasi ya katibu mkuu wa chama hicho, makada wawili wamejitokeza kumvaa Profesa Lipumba katika nafasi ya uenyekiti.

 

11 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AREJESHA FOMU KUGOMBEA UKATIBU MKUU CUF

Na Hassan Hamad  wa OMKR Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.  Akikabidhi fomu hiyo kwa Katibu wa CUF Wilaya ya Magharibi Unguja Bw. Juma Rajab, Maalim Seif amesema suala la ubaguzi kamwe halitopewa nafasi ndani ya chama hicho.  Amefahamisha kuwa wazanzibar wote ni wamoja bila ya kujali asili ya mtu anapotokea ndani ya visiwa vya Zanzibar, na...

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo aachia ngazi

Dakika 50 zilimtosha Profesa Sospeter Muhongo kujieleza kwa urefu wakati akitangaza uamuzi wake wa kujiuzulu uwaziri wa Nishati na Madini akisema “anataka nchi isonge mbele” baada ya kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shilole aachia ‘Usinikate Mood’

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Usinikate Mood’. Shilole ni mkali aliyewahi kutamba na nyimbo kama ‘Paka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani