Mwekezaji amshukuru RC
MWEKEZAJI wa Shamba la Tanzania Plantation, Pradeep Lodhia ameishukuru Serikali kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo kwa kutoa maamuzi ya kuwa anamiliki shamba kihalali na si kama ilivyodaiwa awali kuwa shamba hilo ni mali ya Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Feb
Mtoto aliyeungua mwili amshukuru JK
KIJANA Bakari Katumbaku (20) aliyeungua moto mwili mzima akiwa na miaka 6, amemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa msaada wa matibabu na elimu aliompatia.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Pogba amshukuru Pirlo kumpa elimu
TURIN, ITALIA
KIUNGO wa klabu ya Juventus, Paul Pogba, amesema anamshukuru sana kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Andrea Pirlo, kwa kumpa elimu ya kupiga mipira ya adhabu.
Pogba juzi alifanikiwa kupachika bao kwa mpira wa adhabu katika mchezo wa Kombe la Copa Italia dhidi ya Torino, ambapo Juventus ilishinda mabao 4-0, hivyo akasema ujuzi huo ameupata kwa Pirlo.
“Pirlo alikuwa ni mtu ambaye alikuwa anapenda kunifundisha kupiga mipira ya adhabu wakati tukiwa pamoja katika klabu hii,...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Trump amshukuru Putin kwa kumsifia
10 years ago
Habarileo28 Dec
Chibulunje amshukuru Mungu kwa miaka 20 ya utumishi
MBUNGE wa Jimbo la Chilonwa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma Ezekiah Chibulunje (CCM) amesema anamuomba Mungu apatikane kiongozi bora kurithi nyayo zake katika kuongoza jimbo hilo.
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Shamsa Ford Amshukuru Nay Kwa Kumvisha Pete!
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, staa wa Bongo Movies Shamsa Ford amemshukuru ‘Cousin’ wake Nay Wa Mitego kwa kumvisha pete.
“Thank u my cousin .nimeipenda kidole kinang'aaaa” Shamsa aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo akiwa amavalia pete hiyo.
Kwa muda sasa mastaa hao wanaendelea kukanusha kuwa kwenye mahusiano ya kipenzi mbali na kuonekana kuwa na ukaribu unaotiliwa mashaka.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Magufuli amshukuru Balozi wa Japan nchini kuchangia miradi ya maendeleo
Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakitiliana saini mkataba wa fedha za ruzuku shilingi milioni 70/ zilizotolewa na serikali ya Japan kwa ajili ya kununua magari mawili ya wagonjwa (Ambulance). Tukio hilo lilishuhudiwa na viongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo aliyemaliza muda wake Dkt. Marina Njelekela.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0393.jpg)
MAGUFULI AMSHUKURU BALOZI WA JAPAN NCHINI KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yihHDlvuKFY/default.jpg)