Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump amshukuru Putin kwa kumsifia

Kwenye hotuba kwa taifa Putin alimtaja Donald Trump kama mtu anayependeza na mwenye ujuzi. Trump naye amemsifu sana Rais Putin

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CNBC

Trump tells CNBC he spoke to Putin, MBS and expects Saudis, Russia to announce 10 million barrel cut

Trump tells CNBC he spoke to Putin, MBS and expects Saudis, Russia to announce 10 million barrel cut  CNBCCoronavirus: Oil prices surge on hopes of a price war truce  BBC NewsFormer Diplomat Sees Oil War Truce After Summer  RigzoneOil prices could remain depressed for a year. Here's why  World Economic ForumFor Saudi Arabia and Oil, April May Be the Cruelest Month  BloombergView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

10 years ago

Habarileo

Chibulunje amshukuru Mungu kwa miaka 20 ya utumishi

Ezekiah ChibulunjeMBUNGE wa Jimbo la Chilonwa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma Ezekiah Chibulunje (CCM) amesema anamuomba Mungu apatikane kiongozi bora kurithi nyayo zake katika kuongoza jimbo hilo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford Amshukuru Nay Kwa Kumvisha Pete!

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, staa wa Bongo Movies Shamsa Ford amemshukuru ‘Cousin’ wake Nay Wa Mitego kwa kumvisha pete.

“Thank u my cousin .nimeipenda kidole kinang'aaaa” Shamsa aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo akiwa amavalia pete hiyo.

Kwa muda sasa mastaa hao wanaendelea kukanusha kuwa kwenye mahusiano ya kipenzi mbali na kuonekana kuwa na ukaribu unaotiliwa mashaka.

 

5 years ago

Michuzi

MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Woinde Shizza, Michuzi Tv ARUSHA MEYA Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA MABATI 324 KWA WILAYA YA KONGWA, DC NDEJEMBI AMSHUKURU RAIS MAGUFULI


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kukuza elimu na kuendana na sera ya elimu bila malipo, serikali imetoa mabati 324 kwa Shule ya Msingi Manungu iliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.

Akizungumza katika ziara yake ya kukagua miundombinu ya elimu wilayani humo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara amesema mabati hayo yatatumika kuezeka madarasa matano yaliyojengwa kwa nguvu za wananachi.

Waitara amesema serikali imefurahishwa na nguvu iliyotumika na wananchi hao chini ya Mkuu wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Kalapina afungukia kumsifia Rais Magufuli

CHANDE ABDALLAH

MKALI wa nyimbo za harakati na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kupita tiketi ya Chama cha ACT, Kalama Masoud, ‘Kala Pina’ amefungukia sababu za kumsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli kupitia wimbo wake wa Magufuli Balaa.

Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Kala Pina alisema kuwa japo kuwa yeye anatokea chama cha upinzani lakini hiyo haimaanishi kuwa lazima apinge kila kitu na kudai kuwa amependa kasi ya utendaji wa rais na yeye kama msanii...

 

11 years ago

GPL

USIPORIDHIKA NA KUMSIFIA MKEO, WENZAKO WATAMSIFIA - 2

Mpenzi msomaji wangu, kuna wanaume naweza kusema hawajui mapenzi ni nini na vipi yanaweza kuboreshwa. Baadhi yao wanapuuza vitu vidogovidogo ambavyo huenda wangevifanya vingeliboresha penzi lao. Kabla ya kwenda kwenye mada yenyewe, nikupe kisa kimoja. Kuna dada mmoja ameolewa na anafanya kazi benki. Dada huyu kila akitoka hujitahidi kuvaa vizuri lakini mume wake hajawahi kumwambia amependeza. Mwanamke huyo akitoka nyumbani kwake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani