Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Vladimir Putin azuru Crimea

Rais wa Urusi Vladmir Putin amewasili Sevastopol katika jimbo la Crimea lililojitenga majuzi kutoka Ukraine na kusisitiza kuwa ni jambo la kujivunia na la uzalendo kulinda hadhi ya taifa .

 

10 years ago

Bongo5

Rais wa Urusi, Vladimir Putin apata mkanda mweusi wa nane katika karate!

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepata mkanda mweusi wa nane katika karate. Putin mwenye miaka 62, ni mwanafunzi wa Kyokushin, aina ya karate ambayo wachezaji hawavai vifaa maalum kichwani. Putin pia ni mahiri kwenye martial arts ambapo alipewa mkanda mweusi wa tisa kwenye taekwondo mwaka 2013. Pia ni mchezaji mzuri wa judo. By TMZ

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to H.E. Vladimir Putin, President of the Russian Federation on the occasion of the National Day of Russia

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Vladimir Putin, President of the Russian Federation on the occasion of the National Day of Russia –Victory Day, on 9th May 2014. The message reads as follows:
“H.E. Vladimir Putin,  President of the Russian Federation,   Moscow RUSSIA
Your Excellency and Dear Colleague,
On the occasion of the celebration of your country’s National Day, I would like to convey to you and...

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin hataki kura ya maoni Ukraine sasa

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa wito kwa makundi yanayotaka kujitenga Ukraine waahirishe kura ya maoni ya Jumapili.

 

9 years ago

TheCitizen

‘Tsar Putin’: As secure as he seems?

Vladimir Putin turned 63 last week with his now traditional display of sporting prowess, and an announcement that Russian naval vessels had launched a wave of missiles against Islamic State in Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin na Obama wazungumzia Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin na Barack Obama wa Marekani wamefanya mazungumzo kuhusu mzozo wa Ukraine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin ataka mpango wa kupambana na IS

Rais wa Urusi,Vladmir Putin ametoa wito wa kuwepo kwa mpango wa kikanda wa kupambana na wanamgambo wa Islamic State

 

10 years ago

BBCSwahili

Poroshenko amnyooshea kidole Putin

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameiambia BBC kuwa hamuamini kiongozi wa Urusi Vladimir Putin katika harakati za kuleta Amani Mashariki mwa Ukraine

 

10 years ago

StarTV

Putin: Urusi lazima ijitegemee.

Rais Vladimir Putin amewaonya wananchi wa Urusi kuwa watakabiliwa na wakati mgumu siku za usoni na kuwataka kujitegemea, amesema katika hotuba yake kwa taifa akilihutubia bunge.

Urusi imeathirika kwa kiasi kikubwa kiuchumi kutokana na kushuka kwa bei za mafuta na vikwazo kutoka nchi za magharibi vilivyowekwa dhidi ya Urusi kwa kujiingiza katika mgogoro wa nchi jirani ya Ukraine.

Sarafu ya Urusi ya rouble, ikiwa ishara ya utulivu chini ya utawala wa Bwana Putin, ilipata anguko kubwa la siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani