Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Poroshenko amnyooshea kidole Putin

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameiambia BBC kuwa hamuamini kiongozi wa Urusi Vladimir Putin katika harakati za kuleta Amani Mashariki mwa Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

11 years ago

BBCSwahili

Poroshenko afikiriwa ni rais wa Ukraine

Tajiri mkubwa wa Ukraine, Poroshenko, afikiriwa kuwa ameshinda katika uchaguzi wa rais wa Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Poroshenko apinga uchaguzi

Rais Petro Poroshenko wa Ukraine amesema kuwa hatambui uchaguzi unaoendelea katika baadhi ya maeneo ya Mashariki mwa nchi hiyo

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabishara Arusha wanyoshewa kidole

Wafanyabiashara wanaotoa  huduma katika  masoko   wametakiwa kudumisha utaratibu  wa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara  pasipo kushurutishwa ili kulinda afya za watumiaji wa bidhaa wanazouza, ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu.

Pia imeelezwa kuwa maeneo mengi ya masoko usafi wake hauridhishi kutokana na tabia ya baadhi ya  wafanyabiashara kutokushiriki kikamilifu katika kufanya usafi.

 wafanyabiashara wa soko kuu lililopo katikati ya jiji la Arusha  pamoja na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Amnesty yainyooshea kidole Burundi

Shirika la Amnesty International,limeituhumu serikali ya Burundi kwa mauaji watu wasio na hatia na matumizi mabaya ya jeshi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Machangudoa Moro wanyooshewa kidole


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro, imewataka wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono katika eneo la Msamvu  maarufu Itigi, kuacha mara moja.
Imeonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wote watakaokaidi amri hiyo kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Agizo hilo lilitolewa juzi na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amiri Nondo, ambapo alisema biashara hiyo ni haramu na kamwe haitaachwa iendelee.
“Nilifanya ziara ya kushitukiza katika eneo la Itigi Msamvu.  Eneo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama ainyooshea kidole Urusi

Rais Barack Obama wa Marekan amesema mapigano yanayoendelea nchini Ukraine Urusi inahusika.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa ainyooshea kidole NEC

5-1*Asema isipokuwa makini itavuruga uchaguzi

*Mbowe atoa elimu mpya kwa wapigakura

 

NA FREDY AZZAH, MAGU

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwamba kama haitakuwa makini, inaweza kuvuruga uchaguzi mkuu.

Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabasaba, mjini Magu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani