Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Vladimir Putin azuru Crimea

Rais wa Urusi Vladmir Putin amewasili Sevastopol katika jimbo la Crimea lililojitenga majuzi kutoka Ukraine na kusisitiza kuwa ni jambo la kujivunia na la uzalendo kulinda hadhi ya taifa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

10 years ago

Bongo5

Rais wa Urusi, Vladimir Putin apata mkanda mweusi wa nane katika karate!

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepata mkanda mweusi wa nane katika karate. Putin mwenye miaka 62, ni mwanafunzi wa Kyokushin, aina ya karate ambayo wachezaji hawavai vifaa maalum kichwani. Putin pia ni mahiri kwenye martial arts ambapo alipewa mkanda mweusi wa tisa kwenye taekwondo mwaka 2013. Pia ni mchezaji mzuri wa judo. By TMZ

 

11 years ago

BBCSwahili

Ban azuru Moscow kuijadili Crimea

Mzozo wa kimatafa kuihusu Crimea unaendelea kutokota, suala lililomfanya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kuizuru Moscow leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Putin akiri kunyakua Crimea kutoka Ukraine.

Rais wa Urusi Vladimir Putin, kwa mara ya kwanza amekiri kuamrisha unyakuzi wa jimbo la Krimea kutoka Ukraine.

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to H.E. Vladimir Putin, President of the Russian Federation on the occasion of the National Day of Russia

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Vladimir Putin, President of the Russian Federation on the occasion of the National Day of Russia –Victory Day, on 9th May 2014. The message reads as follows:
“H.E. Vladimir Putin,  President of the Russian Federation,   Moscow RUSSIA
Your Excellency and Dear Colleague,
On the occasion of the celebration of your country’s National Day, I would like to convey to you and...

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria

Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Xi wa China azuru India.

Rais wa China Xi anakutana na Waziri mkuu wa India Narendra Modi

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA

Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani