Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ban azuru Moscow kuijadili Crimea

Mzozo wa kimatafa kuihusu Crimea unaendelea kutokota, suala lililomfanya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kuizuru Moscow leo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Vladimir Putin azuru Crimea

Rais wa Urusi Vladmir Putin amewasili Sevastopol katika jimbo la Crimea lililojitenga majuzi kutoka Ukraine na kusisitiza kuwa ni jambo la kujivunia na la uzalendo kulinda hadhi ya taifa .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wa fedha EU kuijadili Ugiriki

Mawaziri wa fedha kutoka mataifa yanayotumia sarafu ya Yuro, wanajiandaa kuanza mkutano wa dharura, ili kujadili hatua itakayofuatia katika mazungumzo ya mzozo wa kifedha wa Ugiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baraza la usalama la UN kuijadili Burundi

Baraza kuu la usalama la Umoja wa mataifa, linajiandaa kufanya mkutano kuhusiana na mzozo unaondelea nchini Burundi.

 

10 years ago

Habarileo

JK kuongoza marais kuijadili Burundi

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiMSIMAMO wa nchi wanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) juu ya hali ya kisiasa Burundi, inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha marais wa nchi tano za jumuiya hiyo kukutana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K

Norway imewapokea wafadhili hii leo katika mkutano unaojadili mikakati ya kuisaidia nchi ya Sudan kusini yenye mizozo

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge waanza kuijadili bajeti

WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika

Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki

Viongozi kutoka nchi zinazotumia sarafu ya Euro wanatarajiwa kukutana Jumatatu ijayo kujadili madeni ya Ugiriki

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkishindwa kuijadili rasimu turejesheeni wenyewe

HOFU iliyokuwa imeelezwa awali sasa imejidhihirisha. Wakati tulipoonya awali kuwa kuwarundika wanasiasa wengi kwenye Bunge Maalumu kungeleta matatizo, tulipingwa. Lakini kwa sababu tuliotoa onyo hilo ni waungwana, tulikubali kushindwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani