Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri wa fedha EU kuijadili Ugiriki

Mawaziri wa fedha kutoka mataifa yanayotumia sarafu ya Yuro, wanajiandaa kuanza mkutano wa dharura, ili kujadili hatua itakayofuatia katika mazungumzo ya mzozo wa kifedha wa Ugiriki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki

Viongozi kutoka nchi zinazotumia sarafu ya Euro wanatarajiwa kukutana Jumatatu ijayo kujadili madeni ya Ugiriki

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yalegeza kamba kupata fedha

Taarifa zinasema Ugiriki imekubali mapendekezo ya wakopeshaji wake lakini kwa masharti fulani

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki za Ugiriki zapewa fedha za dharura

Benki ya Ulaya imekubali kuidhinisha fedha zaidi za hali ya dharura kwa benki za Ugiriki.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri simamieni vizuri fedha za wananchi

Ikiwa leo ni siku ya 37 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, wananchi wameshuhudia mambo kadhaa aliyofanya ambayo yamewapa mwanga na kuamini kuwa matatizo yao mengi ya msingi yatapatiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu awataja mawaziri, wabunge walioomba fedha

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amewataja kwa majina mawaziri na wabunge aliosema bungeni kuwa wamekuwa ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

 

10 years ago

Vijimambo

MAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO


Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za maendeleo, ameelezea ripoti hiyo kuwa inagusa nchi zote sita za Afrika. Nchi hizo ni pamoja na Rwanda, Tanzania,Uganda, Kenya, Ethiophia na Visiwa vya Shelisheli, Aidha nchi hizo zimefanya kazi vizuri. Alisisitiza...

 

10 years ago

Michuzi

MAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali wa Dkt. Servacius Likwelile akiwa pamoja na Kamishina wa Fedha za Nje Bw. Ngosha Magonya wakati mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mjini Abidjan.
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru

Wakati ikiwa imebaki miezi miwili kwa Serikali ya awamu ya tano ambayo ni mpya kuingia madarakani, macho na masikio ya Watanzania wengi yanasubiri kushuhudia mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani