Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru

Wakati ikiwa imebaki miezi miwili kwa Serikali ya awamu ya tano ambayo ni mpya kuingia madarakani, macho na masikio ya Watanzania wengi yanasubiri kushuhudia mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameamuru fedha zilizopaswa kutumika kugharamia shamra shamra za siku ya Uhuru ambazo zingefanyika tarehe 09 Desemba 2015, kutumika kufanya upanuzi wa barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 4.3 kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami.
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...

 

11 years ago

Habarileo

hawajatembelewa na viongozi wa kitaifa tangu uhuru

WANANCHI wa Kata ya Chiwindi katika halmashauri ya Wilaya ya Nyasa wamelalamika kuwa hawajawahi kutembelewa na kiongozi yeyote kitaifa tangu Tanganyika ipate Uhuru mwaka 1961.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya mawaziri wa fedha, uchumi na mipango ya nchi wanachama wa (AU) na kamisheni ya (ECA)

DSC_0196

Tanzania imechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Watalaam wa Fedha,Uchumi na Mipango kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na Kamisheni ya Uchumi ya Afrika (ECA) kwa kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya ufunguzi wa kikao cha Kamati ya watalaam wa Fedha,Uchumi na Mipango ambacho kinaendelea Mjini Addis Ababa –Ethiopia. Kabla ya uteuzi huo nafasi hiyo ya Mwenyekiti ilikuwa inashikiliwa na Nigeria. Ukanda wa nchi za Mashariki mwa Afrika ulipewa nafasi ya kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru

>Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania  ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo  hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari  yanafika kila kukicha.

 

10 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya Kiswahili tangu ukoloni hadi sasa.

Lugha ya Kiswahili ni kiungo muhimu sana katika maendeleo ya nchi za Afrika Mashariki hasa katika uchumi, elimu, siasa, maendeleo ya Kiswahili, utamaduni, biashara, n.k. Hivi sasa ziko juhudi za ushirikiano na maelewano kwa jamii nzima ya Afrika Mashariki kupitia lugha ya Kiswahili.

 

11 years ago

Bongo Movies

Fahamu historia fupi ya mwanadada Wastara Sajuki tangu alipoanza kuigiza mpaka sasa

Historia fupi ya mwanadada wa bongo movies - Wastara Sajuki. BONYEZA HAPA kuisoma. 

 

11 years ago

Michuzi

KITABU CHA KWANZA KINACHOELEZA KWA KINA HISTORIA YA KLABU YA SIMBA TANGU 1920 HADI SASA

                                                 Mwina Kaduguda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani