Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru
>Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
10 years ago
CloudsFM10 Apr
Diamond,Wema hawajawahi kukutana tangu kuachana
Mastaa wa Bongo ambao waliwahi kuwa wapenzi,Diamond na Wema Sepetu hawajawahi kukutana tangu walipoachana mwaka jana.
Diamond ametambulisha leo wimbo wake mpya mwenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’aliyomshirikisha Khadija...
10 years ago
MichuziTAARIFA YA MAFANIKIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KWA MIAKA MITANO TANGU 2010-2015
11 years ago
Habarileo03 Apr
hawajatembelewa na viongozi wa kitaifa tangu uhuru
WANANCHI wa Kata ya Chiwindi katika halmashauri ya Wilaya ya Nyasa wamelalamika kuwa hawajawahi kutembelewa na kiongozi yeyote kitaifa tangu Tanganyika ipate Uhuru mwaka 1961.
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
11 years ago
Michuzi07 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA MADEREVA BODABODA NA WAJASIRIAMALI MAKETE
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI