Mawaziri simamieni vizuri fedha za wananchi
Ikiwa leo ni siku ya 37 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, wananchi wameshuhudia mambo kadhaa aliyofanya ambayo yamewapa mwanga na kuamini kuwa matatizo yao mengi ya msingi yatapatiwa ufumbuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAVRxp5y-eI/Xkg4sprKj8I/AAAAAAALdgc/pDWswrxmxpc7qSGrnba1n3GE-1fuH_NfgCLcBGAsYHQ/s72-c/dcbf8941-1e6d-44b8-ac08-ba9a39510198.jpg)
PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na ubora.
Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LBlPPWGd3-kBxycGVCAqdilsBlSEqBuDikaoO-i*pH89Khb-aNQE3L32Zd6*hdmzPAkbmCo5zGnkSy-14exQBwb/Shabbb.jpg?width=650)
SHABIBY: NAYAJUA VIZURI MATATIZO YA WANANCHI WANGU
Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby. Stori: Dustan Shekidele
Gairo ni miongoni mwa wilaya mpya nchini Tanzania ambayo ilianzishwa rasmi mwaka 2012 katika eneo ambalo awali lilikuwa ni Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Gairo inapatikana Kaskazini Magharibi mwa mkoa huo. Wiki iliyopita, Uwazi lilichanja mbuga hadi katika jimbo hilo linaloongozwa na Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo...
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Mawaziri wa fedha EU kuijadili Ugiriki
Mawaziri wa fedha kutoka mataifa yanayotumia sarafu ya Yuro, wanajiandaa kuanza mkutano wa dharura, ili kujadili hatua itakayofuatia katika mazungumzo ya mzozo wa kifedha wa Ugiriki.
11 years ago
Mwananchi26 May
Lissu awataja mawaziri, wabunge walioomba fedha
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amewataja kwa majina mawaziri na wabunge aliosema bungeni kuwa wamekuwa ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
MAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za...
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za maendeleo, ameelezea ripoti hiyo kuwa inagusa nchi zote sita za Afrika. Nchi hizo ni pamoja na Rwanda, Tanzania,Uganda, Kenya, Ethiophia na Visiwa vya Shelisheli, Aidha nchi hizo zimefanya kazi vizuri. Alisisitiza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wananchi wafichua uongo wa mawaziri
WANANCHI wa vijiji vya kuzunguka Hifadhi ya Mbuga ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) wamefichua udanganyifu waliodai kufanyiwa na baadhi ya mawaziri wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 kuwa...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru
Wakati ikiwa imebaki miezi miwili kwa Serikali ya awamu ya tano ambayo ni mpya kuingia madarakani, macho na masikio ya Watanzania wengi yanasubiri kushuhudia mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania