Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wafichua uongo wa mawaziri

WANANCHI wa vijiji vya kuzunguka Hifadhi ya Mbuga ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) wamefichua udanganyifu waliodai kufanyiwa na baadhi ya mawaziri wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi Ludewa wamzomea mgombea ubunge aokolewa kupigwa kisa uongo kumtukana Filikunjombe

Kada wa CCM anayeomba  kuteuliwa  kugombea ubunge jimbo la Ludewa kepten mstaafu Jacob Mpangala ambae jana amezomewa mkutanoni na kuokolewa  kichapwa baada ya kujinadi kwa kutumia lugha za matusi na uongo dhidi ya mbunge Deo  Filikunjombe. Mbunge Filikunjombe akiwapungia mkoano  wananchi wa mndindi baada ya kujinadi. Wananchi wa kata ya Ibumi  wakiwa  wametuliwa wakimsikiliza kwa makini mbunge Filikunjombe wakati akiomba  kura zao. Filikunjombe akisisitiza jambo wakati akiomba kura kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri simamieni vizuri fedha za wananchi

Ikiwa leo ni siku ya 37 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, wananchi wameshuhudia mambo kadhaa aliyofanya ambayo yamewapa mwanga na kuamini kuwa matatizo yao mengi ya msingi yatapatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wafichua njama

Wakati kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikianza kupitia ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow, wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umedai kwamba kuna mikakati imeandaliwa kuzima ripoti hiyo kusomwa na kujadiliwa bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafichua siri ya kukimbilia Tanzania

>Hali ngumu ya maisha ndiyo inayowafanya baadhi ya wananchi kutoka nchi jirani kukimbilia Tanzania kwa lengo la kutafuta kazi na maisha mazuri, imeelezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu

WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi (kulia) akifafanua jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari Thursday, October 22, 2015 ZIKIWA zimebaki siku tatu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka […]

The post Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani