JK kuongoza marais kuijadili Burundi
MSIMAMO wa nchi wanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) juu ya hali ya kisiasa Burundi, inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha marais wa nchi tano za jumuiya hiyo kukutana jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 May
Kikwete aita marais EAC kuijadili Burundi
RAIS Jakaya Kikwete ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili kujadili hali ya Burundi.
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Baraza la usalama la UN kuijadili Burundi
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Marais wastaafu Afrika kuongoza waangalizi Uchaguzi Mkuu
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika hawa hapa
10 years ago
Mtanzania13 May
Upinzani Burundi wawaonya marais EAC
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakitarajiwa kukutana Dar es Salaam leo kujadili mzozo wa Burundi, wapinzani wa Rais Pierre Nkurunziza, wameapa kwa kusema kuwa ni lazima kiongozi huyo ang’atuke madarakani.
Pamoja na hali hiyo pia wameonya kuwa silaha zinazozagaa kwa wanamgambo nchini humo zikusanywe kwa vile ni hatari hata kwa usalama wa nchi jirani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa...
10 years ago
Habarileo01 Jun
Marais EAC wataka uchaguzi wa Rais Burundi uahirishwe
WAKUU wa Nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wameitaka Burundi kuahirisha uchaguzi kwa takribani mwezi mmoja na nusu ili kurejesha hali ya amani nchini humo na kulitaka Bunge kusimamia mchakato huo.
10 years ago
GPLWANAHARAKATI WA BURUNDI WAWATAKA MARAIS WA EAC KUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUMNG’OA NKURUNZIZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s72-c/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s400/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)