Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aita marais EAC kuijadili Burundi

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili kujadili hali ya Burundi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK kuongoza marais kuijadili Burundi

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiMSIMAMO wa nchi wanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) juu ya hali ya kisiasa Burundi, inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha marais wa nchi tano za jumuiya hiyo kukutana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Upinzani Burundi wawaonya marais EAC

(FILES) This file picture taken 05 DecemNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakitarajiwa kukutana Dar es Salaam leo kujadili mzozo wa Burundi, wapinzani wa Rais Pierre Nkurunziza, wameapa kwa kusema kuwa ni lazima kiongozi huyo ang’atuke madarakani.
Pamoja na hali hiyo pia wameonya kuwa silaha zinazozagaa kwa wanamgambo nchini humo zikusanywe kwa vile ni hatari hata kwa usalama wa nchi jirani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Marais EAC wataka uchaguzi wa Rais Burundi uahirishwe

Viongozi wa Afrika Mashariki na Afrika Kusini wakiwa jijini Dar es Salaam kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kujadili mgogoro wa Burundi.WAKUU wa Nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wameitaka Burundi kuahirisha uchaguzi kwa takribani mwezi mmoja na nusu ili kurejesha hali ya amani nchini humo na kulitaka Bunge kusimamia mchakato huo.

 

10 years ago

GPL

WANAHARAKATI WA BURUNDI WAWATAKA MARAIS WA EAC KUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUMNG’OA NKURUNZIZA

Wanaharakati hao wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Mwenyekiti wa Taasisi ya Burundi Women and Girls Movement, Prof Christine Mbonyingingo (kati) akizungumza na wanahabari.  Rais wa Taasisi ya Fight For Ongoing Torture, Niyongere Armel akisisitiza…

 

10 years ago

BBCSwahili

Baraza la usalama la UN kuijadili Burundi

Baraza kuu la usalama la Umoja wa mataifa, linajiandaa kufanya mkutano kuhusiana na mzozo unaondelea nchini Burundi.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awasili Burundi kulihutubia Bunge la EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya  Jumatano, Machi 18, 2015 amewasili nchini Burundi kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini humo. Kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mji mkuu wa Burundi wa Bujumbura, Rais Kikwete amepokelewa na Rais wa Burundi Mheshimiwa Pierre Nkurunzinza na pamoja na mamia kwa mamia ya wananchi wa Burundi. Rais Kikwete ambaye amewasili Burundi akitokea Dodoma ambako alikuwa katika ziara ya kikazi pia leo Machi 19, 2015,...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza Mkutano wa Pili wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa EAC kuhusu Burundi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa kwanza kulia) kwa pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven (wa pili kulia), Rais wa Afrika Kusini, Mhe Jacob Zuma (wa tatu kutoka kulia), Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Mhe. Alain Nyamitwe (wa tatu kushoto) na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Richard Sezibera (wa pili kushoto), wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kabla ya kuanza rasmi kwa...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

10 years ago

Mtanzania

Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi

Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam

MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani