Mkishindwa kuijadili rasimu turejesheeni wenyewe
HOFU iliyokuwa imeelezwa awali sasa imejidhihirisha. Wakati tulipoonya awali kuwa kuwarundika wanasiasa wengi kwenye Bunge Maalumu kungeleta matatizo, tulipingwa. Lakini kwa sababu tuliotoa onyo hilo ni waungwana, tulikubali kushindwa kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mkishindwa nipisheni – Magufuli
Na Elias Msuya
RAIS John Magufuli amewataka makatibu na manaibu makatibu wakuu walioapishwa jana kukubali ahadi ya uadilifu wa viongozi na asiyetaka akae pembeni.
Akizungumza baada ya kuwaapisha makatibu na manaibu makatibu wakuu katika Ikulu ya Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema hakuna aliyelazimishwa kula kiapo cha ahadi za uadilifu wa uongozi wa umma, hivyo asiyetaka akae pembeni.
“Tusije tukawa tunazungumza hapa kwa ‘generalization’ (kwa ujumla), lakini kumbe si wote wanakubali hayo...
11 years ago
Habarileo20 Jul
‘Mkishindwa kutekeleza ya viongozi wa dini vaeni kondomu
RAIS Jakaya Kikwete amesema, viongozi wa dini wakiwemo mapadri, maaskofu na mashehe hawawezi kuwaeleza watu watumie kondomu wakati wa kujamiiana, lakini yeye haoni aibu kuwashauri hivyo, kwa kuwa anataka kuokoa maisha ya wananchi ili nyumba za ibada zisikose waumini.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Mawaziri wa fedha EU kuijadili Ugiriki
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Baraza la usalama la UN kuijadili Burundi
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K
10 years ago
Habarileo13 May
JK kuongoza marais kuijadili Burundi
MSIMAMO wa nchi wanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) juu ya hali ya kisiasa Burundi, inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha marais wa nchi tano za jumuiya hiyo kukutana jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo16 Jun
Wabunge waanza kuijadili bajeti
WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika