Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkishindwa kuijadili rasimu turejesheeni wenyewe

HOFU iliyokuwa imeelezwa awali sasa imejidhihirisha. Wakati tulipoonya awali kuwa kuwarundika wanasiasa wengi kwenye Bunge Maalumu kungeleta matatizo, tulipingwa. Lakini kwa sababu tuliotoa onyo hilo ni waungwana, tulikubali kushindwa kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mkishindwa nipisheni – Magufuli

Pg 2Na Elias Msuya

RAIS John Magufuli amewataka makatibu na manaibu makatibu wakuu walioapishwa jana kukubali ahadi ya uadilifu wa viongozi na asiyetaka akae pembeni.

Akizungumza baada ya kuwaapisha makatibu na manaibu makatibu wakuu katika Ikulu ya Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema hakuna aliyelazimishwa kula kiapo cha ahadi za uadilifu wa uongozi wa umma, hivyo asiyetaka akae pembeni.

“Tusije tukawa tunazungumza hapa kwa ‘generalization’ (kwa ujumla), lakini kumbe si wote wanakubali hayo...

 

11 years ago

Habarileo

‘Mkishindwa kutekeleza ya viongozi wa dini vaeni kondomu

RAIS Jakaya Kikwete amesema, viongozi wa dini wakiwemo mapadri, maaskofu na mashehe hawawezi kuwaeleza watu watumie kondomu wakati wa kujamiiana, lakini yeye haoni aibu kuwashauri hivyo, kwa kuwa anataka kuokoa maisha ya wananchi ili nyumba za ibada zisikose waumini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wa fedha EU kuijadili Ugiriki

Mawaziri wa fedha kutoka mataifa yanayotumia sarafu ya Yuro, wanajiandaa kuanza mkutano wa dharura, ili kujadili hatua itakayofuatia katika mazungumzo ya mzozo wa kifedha wa Ugiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baraza la usalama la UN kuijadili Burundi

Baraza kuu la usalama la Umoja wa mataifa, linajiandaa kufanya mkutano kuhusiana na mzozo unaondelea nchini Burundi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K

Norway imewapokea wafadhili hii leo katika mkutano unaojadili mikakati ya kuisaidia nchi ya Sudan kusini yenye mizozo

 

10 years ago

Habarileo

JK kuongoza marais kuijadili Burundi

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiMSIMAMO wa nchi wanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) juu ya hali ya kisiasa Burundi, inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha marais wa nchi tano za jumuiya hiyo kukutana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge waanza kuijadili bajeti

WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki

Viongozi kutoka nchi zinazotumia sarafu ya Euro wanatarajiwa kukutana Jumatatu ijayo kujadili madeni ya Ugiriki

 

11 years ago

Mwananchi

Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika

Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani