Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria

Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Vladimir Putin azuru Crimea

Rais wa Urusi Vladmir Putin amewasili Sevastopol katika jimbo la Crimea lililojitenga majuzi kutoka Ukraine na kusisitiza kuwa ni jambo la kujivunia na la uzalendo kulinda hadhi ya taifa .

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria

Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.

 

11 years ago

Mwananchi

Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria

Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.

 

10 years ago

CloudsFM

SERIKALI KUJADILI HATMA YA WAMACHINGA NCHINI

SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya maeneo na muda mwafaka wa kuendesha shughuli zao.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliliambia Bunge jana kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewasilisha mapendekezo hayo kwake, juu ya hatua za kutatua tatizo hilo.

Pinda alisisitiza kwamba wazo hilo la Tamisemi ni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali” dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.

 

9 years ago

TheCitizen

Putin: Russian forces show impressive results in Syria, hundreds of terrorists killed

The Russian military forces have achieved impressive results in Syria, Russian President Vladimir Putin told a meeting of the Council of CIS Heads of State on Friday.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani