Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria
Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 May
Rais Vladimir Putin azuru Crimea
Rais wa Urusi Vladmir Putin amewasili Sevastopol katika jimbo la Crimea lililojitenga majuzi kutoka Ukraine na kusisitiza kuwa ni jambo la kujivunia na la uzalendo kulinda hadhi ya taifa .
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria
Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.
10 years ago
CloudsFM06 Feb
SERIKALI KUJADILI HATMA YA WAMACHINGA NCHINI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliliambia Bunge jana kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewasilisha mapendekezo hayo kwake, juu ya hatua za kutatua tatizo hilo.
Pinda alisisitiza kwamba wazo hilo la Tamisemi ni...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali†dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.
9 years ago
TheCitizen16 Oct
Putin: Russian forces show impressive results in Syria, hundreds of terrorists killed
The Russian military forces have achieved impressive results in Syria, Russian President Vladimir Putin told a meeting of the Council of CIS Heads of State on Friday.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania