Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Iran: Uchaguzi huru utaokoa Syria
Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema kuwa Syria inahitaji uchaguzi huru na wa haki kama njia pekee ya kusuluhisha mgogoro wa kisiasa unaotokota nchini humo
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria
Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kikwete kuhudhuria mkutano wa EU,Afrika
RAIS Jakaya Kikwete amewasili Brussels, Ubelgiji, jana kuhudhuria kikao cha siku mbili cha Wakuu wa Nchi za Afrika na za Umoja wa Ulaya (EU-Africa Summit). Kikao hicho kitatoa nafasi kwa viongozi hao, kutathmini mafanikio ya uhusiano wao na kutafuta njia zingine mpya za kuboresha uhusiano wao.
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s1600/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Septemba 15, 2014. Kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s72-c/us1.jpg)
JK awasili Marekani kuhudhuria mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) New York. Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga...
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Kampeni ya Trump yakanusha idadi ndogo kuhudhuria mkutano wake
Vijana wadogo wanasemekana kuwa walijiandikisha kununua tiketi wakiwa na nia ya kutohudhuria mkutano huo kwa lengo la kuhakikisha viti vinabaki tupu katika mkutano huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania