Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran: Uchaguzi huru utaokoa Syria

Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema kuwa Syria inahitaji uchaguzi huru na wa haki kama njia pekee ya kusuluhisha mgogoro wa kisiasa unaotokota nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yaiachilia huru meli ya mizigo

Iran imeachia meli ya mizigo iliyoikamata katika maeneo ya baharini huko Hormuz

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria

Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watawa waachiliwa huru Syria

Imethibitishwa kuwa waasi nchini Syria wamewaachilia huru watawa 13 na wafanyikazi 3 wa nyumbani waliotekwa nyara mwaka jana

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandishi wanawake huru kutizama voliboli Iran

Vyombo vya habari nchini Iran, vinasema wandishi habari wa kike wataruhusiwa kwenda kutizama mechi za voliboli pamoja na wanaume .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wa Sweden waachiliwa huru Syria

Sweden wanasema kuwa raia wake wawili ambao walikuwa wakishikiliwa mateka nchini Syria wameachiliwa huru kupitia usaidizi wa Palestina na Jordan

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu wafnyika Syria

Wakazi wa Damascus wameambia BBC kuwa wanampigia kura Rais Assad kwa sababu anapambana na tisho la ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani